Habari wadau.
Naomba mnisaidie nina tatizo la kuumwa tumbo kila wakati ninapoanza tu kula chochote linauma baada ya muda linatulia, tumbo linanifanya nakosa hata hamu ya kula, sababu iwe ni mchana nikimeza tu mara ya kwanza tumbo linaanza kuuma, usiku pia hivyo hivyo.
Naomba mnisaidie nina tatizo la kuumwa tumbo kila wakati ninapoanza tu kula chochote linauma baada ya muda linatulia, tumbo linanifanya nakosa hata hamu ya kula, sababu iwe ni mchana nikimeza tu mara ya kwanza tumbo linaanza kuuma, usiku pia hivyo hivyo.