my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Nikiwa katika period miguu na kiuno kinauma sana. Hospital wamenipa dawa ambazo nameza kila mwezi nikikarbia kuingia tena.
Nani anajua dawa ya kuponyesha kabisa?
Nani anajua dawa ya kuponyesha kabisa?