Kuuliza sio ujinga

Kuuliza sio ujinga

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Habari za mchana..

Huwa naona sa watu wanaandika hivi

3S-FE 2.0L engine, 4WD)

1ZZ-FE 1.8L engine, 2WD)

Hizo huwa ni nini?? Husadia nini katika utumiaji wa magari..

Asanteni
 
Habari za mchana..

Huwa naona sa watu wanaandika hivi

3S-FE 2.0L engine, 4WD)

1ZZ-FE 1.8L engine, 2WD)

Hizo huwa ni nini?? Husadia nini katika utumiaji wa magari..

Asanteni

3f-SE na 1ZZ-FE ni aina ya engine kwa magari ya toyota.
2.0L na 1.8L ni size ya engine.L inasimama kama liter.Pia 2.0 maana yake ni 2000cc na 1.8 ni sawa na 1800cc.
4WD maana ni gari unayoweza kuzungushwa matairi yote ma nne na gear box,4WD au 4x4 ni gari lakutumia kwenye barabara mbaya au matope.Ukikwama unaingiza gear ya 4WD,
2WD matairi ma wili yanazunguswa.
Wingi wa CC ndiyo ukubwa wa engine.
 
Ni utofauti wa injini tu kaka..mfano kuna 3l na 5l nk ni lini gari lilitengenezwa waweza jua kutokana na hizo injini kama model mpya au ya zamani pia..pia inakuonyesha utofauti na nguvu na utumiaji wa mafuta...mtu mwingine akitaka kununua gari atasema anataka 3l kwa kuwa linatumia mafuta kidogo mwingine atasema anataka 5l kwa kuwa lina nguvu nk
 
3f-SE na 1ZZ-FE ni aina ya engine kwa magari ya toyota.
2.0L na 1.8L ni size ya engine.L inasimama kama liter.Pia 2.0 maana yake ni 2000cc na 1.8 ni sawa na 1800cc.
4WD maana ni gari unayoweza kuzungushwa matairi yote ma nne na gear box.
2WD matairi ma wili yanazunguswa.
Wingi wa CC ndiyo ukubwa wa engine.
Tz nisaidie na mimi kwenye gia kuna P - parking, R- Reverse; N - Neutral Free; zinazobaki sijui matumizi yake ingawaje nina gari yapata miaka minne sasa - 2 na L.

Ahasante kwa utayari wako
 
Last edited by a moderator:
Tz nisaidie na mimi kwenye gia kuna P - parking, R- Reverse; N - Neutral Free; zinazobaki sijui matumizi yake ingawaje nina gari yapata miaka minne sasa - 2 na L.

Ahasante kwa utayari wako
2 inatumika kwenye barabara mbaya inafanya engine itembee na gear namba 2 ambayo itakusaidia uende mwendo mdogo na wenye nguvu(ila usiende mbio zaidi ya Km 20 kwa saa,ukizidisha speed utatuumia petrol nyingi na unaweza kuharibi engine)
L ni low gear.Una weza kutumia hii ukiwa unashuka miteremko mikali kwa speed ndogo.

Kuna kitu kingine kina itwa O\D.ni over drive tumia O/D on,ikiwa unaendesha mjini kama unaenda masafa switch off O/D utapata speed nzuri na matumizi madogo ya mafuta.
 
2 inatumika kwenye barabara mbaya inafanya engine itembee na gear namba 2 ambayo itakusaidia uende mwendo mdogo na wenye nguvu(ila usiende mbio zaidi ya Km 20 kwa saa,ukizidisha speed utatuumia petrol nyingi na unaweza kuharibi engine)
L ni low gear.Una weza kutumia hii ukiwa unashuka miteremko mikali kwa speed ndogo.

Kuna kitu kingine kina itwa O\D.ni over drive tumia O/D on,ikiwa unaendesha mjini kama unaenda masafa switch off O/D utapata speed nzuri na matumizi madogo ya mafuta.
tz1 ahsante kwa somo lako; wanyonge tunateseka sana maana naamini ukinunua "Brand New Car" lazima utapewa na "Manual" yake. hapo kwenye O/D kuna mwalimu mwingine alinielekeza kwa ajili ya kupanda vilima yaani gari inaongezeka nguvu
 
Last edited by a moderator:
4WD* 4 WHEEL dRIVE MANAKE GARI HAIKWAMI POPOTE INAPITA KWENYE MABONDE NK
2WD* 2 WHEEL DRIVE VICE VERSA
 
tz1 ahsante kwa somo lako; wanyonge tunateseka sana maana naamini ukinunua "Brand New Car" lazima utapewa na "Manual" yake. hapo kwenye O/D kuna mwalimu mwingine alinielekeza kwa ajili ya kupanda vilima yaani gari inaongezeka nguvu
Ukiwa unapnda mlima mkali na gari ina sinzia weka 2 au L.Hizo ni lower gear.
Lower gear gear zina nguvu zaidi ila speed ni ndogo.
O/D ON maana yake over drive ipo on hivyo utatumia geat zote 1,2,3,4,5 gari itakuwa na mwendo wa kasi na mafuta machache.Ukitumi O/D OFF inamaana utatumia lower gear kama 1,2 ,3 hivo mafuta mengi yatatumika.
Usitumie O/D on kwa matumizi ya mjini kwa speed ndogo.
 
4WD* 4 WHEEL dRIVE MANAKE GARI HAIKWAMI POPOTE INAPITA KWENYE MABONDE NK
2WD* 2 WHEEL DRIVE VICE VERSA
20429323_BG1.jpg


2012-11-07-children-in-crisis-vehicle-stuck-in-mud-in-liberia2.jpg
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Back
Top Bottom