Kutumia umeme units 75 kwa mwezi(tariff 4) ni kujidanganya ama kudanganya

MPHINGU

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
518
613
Wakuu,

Leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.

Watumiaji wa kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv, computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.

Kuna wateja wengine wa TANESCO wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.

Sasa ninachowaomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima.
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
 
Wakuu leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.
watumiaji wa Kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv,computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.
Kuna wateja wengine wa tanesco wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.
Sasa ninacho waomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima
Hatutaki gharama za maisha zipande lakini usijidanganye watumiaji wa umeme kwa kiasi hicho hawapo, mtembee nchi ni kubwa sana hii sio Dar pekee. Wapo watu hutumia 20 units kwa mwezi na ni WENGI sana sana hasa zama hizi za umeme vijijini. Mtu yupo NJOMBE, friji, kiyoyozi, feni vya nini? Pasi jumapili tu au Ijumaa kunyooshea nguo za ibada, shambani tunaenda tumepiga pasi. Jiko la umeme bado ni hadithi (kwanza tunayaigopa, yanakula umeme hayo). Huwezi kutumia units 30 kwa taa na Tv pekee kwa mwezi. Kipindi kile cha service charges ilikuwa kama una matumizi chini ya 75 units unaomba kuondolewa service charge na hata nyumbani kule kijijini tulifanya hivyo maana tulikuwa hatutumii kiasi hicho.
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
Du mbona mi nalipa elfu 30 na sina vitu km vya kwako?
 
Mkuu naona unawafurahisha wanajanvi tu, mimi nilikua kwenye group ya tariff 4, tangia 2005, tupo family 1, pasi, feni 2, tv na friji, nilikua nikivuka kila mara units 75, lakini Awamu hii ya 5, wakanibadilishia tariff 1 ya ni naumia sana
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!

Haiwezekani hii kitu, napinga mkuu!
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
SIYO KWELI
 
Wakuu,

Leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.

Watumiaji wa kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv, computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.

Kuna wateja wengine wa TANESCO wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.

Sasa ninachowaomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima.
Fanya research kabla ya kutoa mchanganuo
 
Wakuu,

Leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.

Watumiaji wa kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv, computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.

Kuna wateja wengine wa TANESCO wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.

Sasa ninachowaomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima.
Haya ndio maneno,asante kaka kwa kuweza kutoa tafukuri murua,sijui lakini kama Professor anapitaga hapa,hili ni wazo ambalo halihitaji mtu kwenda Mlimani,kwani kusema unit 75 ndio kwa wasiojiweza kwa wakati huu wa dunia ya kidijitali kwa kweli ni sawa na kusema kutumia TV,Kompyuta,Jokofu ,Kiyoyozi ni luxury na sio necessity .
 
Haiwezekani hii kitu, napinga mkuu!
Mkuu amino hivyo kama kwako hakuna leakage na hutumii umeme vibaya Waite tanesco waangalie mita yako, mimi kiukweli tanesco hawanilidhishi huduma zao ila kwa hili la tariff 4 mimi pia nimeishuhudia
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
Hapa tunapigwa kamba! Kitu hiki hakiwezekaniiiì
 
Mkuu naona unawafurahisha wanajanvi tu, mimi nilikua kwenye group ya tariff 4, tangia 2005, tupo family 1, pasi, feni 2, tv na friji, nilikua nikivuka kila mara units 75, lakini Awamu hii ya 5, wakanibadilishia tariff 1 ya ni naumia sana

JAMANI SOMENI REPORT YA EWURA..INAELEZA WAZI KUWA KAMA UKO KUDI LA D1 BEI HAIJABADILIKA HATA KAMA UNITI ZINAZIDI 75.SOMENI JEDWALI KWENYE WEBSITE YA EWURA.TUACHE KUDANGANYA UMMA
 
Back
Top Bottom