Tudibe.. 😁Wajanja hatujawahi nunua bundle mwaka wa 2.....bado tunadunda tu![]()
tupe chaka nasie tuenjoy🙈Wajanja hatujawahi nunua bundle mwaka wa 2.....bado tunadunda tu![]()
𝐭𝐮𝐩𝐞 𝐮𝐳𝐨𝐞𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐰𝐢𝐟𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐛𝐮𝐧𝐝𝐥𝐞 𝐥𝐚 𝐬𝐡. 𝐍𝐠𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢?Dawa ni unlimited tu, hizi bando za kupima ni pasua kichwa! Kuna jirani yangu hapa nimemuunga na Wi-fi, kaniona mkombozi niliyeshushwa na Mungu![]()
Tigo 30k ni GB 35 unasau shida mwezi mzimaMpango mzima ni special bandle za Halotel,
15K - 18GB
Apa kidogo wapo resonable,
Wamenifanya niache kutumia Ma VPN
Ni Vodacom Supakasi, 120,000 kwa mwezi! Ni unlimited, speed up to 30mbps!𝐭𝐮𝐩𝐞 𝐮𝐳𝐨𝐞𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐰𝐢𝐟𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐛𝐮𝐧𝐝𝐥𝐞 𝐥𝐚 𝐬𝐡. 𝐍𝐠𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢?
Yeah, True say, hapo kidogo utaona unafuu wa maisha ila sijui unaweka 2K ujiunge hutaacha kuona Kila Aina ya rangi.Tigo 30k ni GB 35 unasau shida mwezi mzima
Unajua suala la kupanda kwa gharama za vifurushi ni mbinu zakiutawala, wananchi wakose access ya data ili wawe wajinga pale serikali inaposema inanunua vichwa vya treni mkubaliane nao,Yule waziri si aliwaambia, mnashinda mtandaoni kwa sababu hamna kazi za kufanya.
Sasa acha tuendelee kulia #BoniYai on X.
Ana nidhamu na matumizi? Kuna wengine ukiwaunga umejitafutia shidaDawa ni unlimited tu, hizi bando za kupima ni pasua kichwa! Kuna jirani yangu hapa nimemuunga na Wi-fi, kaniona mkombozi niliyeshushwa na Mungu![]()