Kutongoza ni ngumu hasa ukiwa hauna hela

Kutongoza ni ngumu hasa ukiwa hauna hela

Ila jamani hasa ukiwa hauna hela kutongoza mdada mpya na kuanzisha mahusiano mapya ni ngumu sana msione watu wanarudia ma ex zao huku nje kupata mtu mpya muaze maisha mapya mpaka mje mzoeane mpeane siri sio leo na wala sio rahisi mpaka mtu akukubalie na akuamini itabidi ufanye kazi.
Wewe upo pande zipi...Mademu hawa wote wa bure bure....au mwenzetu upo jupiter
 
Ila jamani hasa ukiwa hauna hela kutongoza mdada mpya na kuanzisha mahusiano mapya ni ngumu sana msione watu wanarudia ma ex zao huku nje kupata mtu mpya muaze maisha mapya mpaka mje mzoeane mpeane siri sio leo na wala sio rahisi mpaka mtu akukubalie na akuamini itabidi ufanye kazi.
Maelezo mengiii, ungeishia kusema kama huna hela mwanamke anakuona takataka.
 
Kuna mapenzi ya Nyumbani au ukiwa Chuo, Na kuna Mapenzi Ukiwa Umejichanganya Mtaani.
Upo kazingira yapi hapo ?

Unataka demu mwenye hulka zipi ?
Church girl, Beki tatu, Mfanyakazi, Mkaa kwako, mpanga geto?

Ukijua hizi Code tu, Utaelewa Demu gani kwako ni rahis kumpata. Simple. 😁
TUMFUNDISHE TENA , NYETO IKO APPLICABLE KOTE KOTE
 
Ila jamani hasa ukiwa hauna hela kutongoza mdada mpya na kuanzisha mahusiano mapya ni ngumu sana msione watu wanarudia ma ex zao huku nje kupata mtu mpya muaze maisha mapya mpaka mje mzoeane mpeane siri sio leo na wala sio rahisi mpaka mtu akukubalie na akuamini itabidi ufanye kazi.
Kuna ka ukweli fulani hapo... ila najua hela inakupa confidence kwa asilimia kadhaa ila tunawajua maboya wenye hela zao na wanasumbuliwa na hayo mahusiano japo kuwa wana honga sana na kutatua shida za madame zao. Kikubwa jiamini tu mpaka sasa hatujui nini wanataka hao wanawake
 
Kuna mapenzi ya Nyumbani au ukiwa Chuo, Na kuna Mapenzi Ukiwa Umejichanganya Mtaani.
Upo kazingira yapi hapo ?

Unataka demu mwenye hulka zipi ?
Church girl, Beki tatu, Mfanyakazi, Mkaa kwako, mpanga geto?

Ukijua hizi Code tu, Utaelewa Demu gani kwako ni rahis kumpata. Simple. 😁
Weka code izo bro
 
Ila jamani hasa ukiwa hauna hela kutongoza mdada mpya na kuanzisha mahusiano mapya ni ngumu sana msione watu wanarudia ma ex zao huku nje kupata mtu mpya muaze maisha mapya mpaka mje mzoeane mpeane siri sio leo na wala sio rahisi mpaka mtu akukubalie na akuamini itabidi ufanye kazi.
Ukianza kuona huwezi ku accomplish kitu mpaka uwe na hela basi ujue una umaskini mkubwa sana. It all starts in your mindset, kila kitu kinawezekana. Material things vinakuja kunogesha tu ushindi ambao ulishashinda.
 
Back
Top Bottom