Kutongoza mwisho mara tatu

Kutongoza mwisho mara tatu

Ongeza Nyama nyama basi hata Kama picha Haina kwenye stori yako
 
Kutongoza Mwisho Mara Tatu Tu Zaidi Ya Hapo Unakua Usumbufu Hata Kwa Yule Unaemtongoza.
Kama umesoma kitabu cha Rich dad poor Dad. Mle kuna principle inaitwa 'The principle of persistance' Yaani kanuni ya ung'ng'anizi au kudumu katika jambo, hii ni kanuni kubwa sana na inafanya kazi kila mahala.Itumie utafanikiwa hata kana mwanamke malkia utampata tu.
 
Kama umesoma kitabu cha Rich dad poor Dad. Mle kuna principle inaitwa 'The principle of persistance' Yaani kanuni ya ung'ng'anizi au kudumu katika jambo, hii ni kanuni kubwa sana na inafanya kazi kila mahala.Itumie utafanikiwa hata kana mwanamke malkia utampata tu.
Demu akikujibu shombo mara ya kwanza ndiyo imetoka hvyo simfuatilii tena

Maana sijui nikienda nitamfuata na sound gani aweze kuwa kwenye line
 
Me, ni Mara moko tu.. Sipendi ujinga na usumbufu me.. Kama akiwa anabipu basi asitegemee kupigiwa...
Ndo nishasepa hvyo
 
Wanavunga wajuvi sanaa yani hadi keroo eti new member!! Vipi kama mtu kabadilisha id? Wengine tumefungua akaunti mwez huu ila tumetumia browser kwa miaka kadhaa
wanazingua sana wanajikuta wakongwe huku jf hizo tabia zao ni za umama..mtoto wa kiume anajisifu kudumu kwenye mtandao...
 
Back
Top Bottom