NIMEAMINI KUWA UONGOZI UNAFAA KUWEKEWA KIWANGO CHA CHINI CHA UMRI!!!!!!!!!!!!!!!!!
Katiba yetu inamruhusu mtanzania kugombea ubunge akiwa na miaka 22 na kuendelea. ni jambo zuri kuwa na wabunge vijana lkn hali halisi ya kimaumbile inapingana na kanuni hii. wabunge wengi wa kiume bungeni waliyo vijana hawajaoa. zitto, mnyika, makamba, mkosamali, kafulila....... nk................
kuoa ni jambo la heshima. humkuza mtu kiakili na humfanya ajiheshimu ktk jamii na aheshimike na jamii. kuna vijana wamezua mtindo wa kuzungumza nungeni ipasavyo. madhali kila mbunge alisaini kutii kanuni za bunge, hapana budi anaevunja kanuni awajibishwe. mnyika amemetukana mh rais bungeni. ameombwa afute kauli yake amekataa. naibu spika amemtoa bungeni kwa kikao cha leo tu. wadau inaelekea umri mzuri wa ubunge ni miaka 30 na kuendelea.....