Kutokulala Nyumbani

ila man hii point sana dem wangu mwenyewe ana mdomo balaaa yaani ni anaongea anauliza mpaka vitu vya kijinga ***** siku hizi mpaka najifanya navuta bangi akiongea sana jibu ni hapana au ndio na maelekezo tu
πŸ˜„ πŸ˜„ nilijua tu kuna tu manzi twingine tuna midomo km chuchunge ukiwa km kazi zako zinahusisha ruti za kusafiri unakasusia nyumba ase
 
Nitaanza kujifanyia maombi, maana hii hali siipendi.
Kaini baada ya kumuua ndugu yake Habili alitamkiwa laana ya namna hiyo, uzuluraji.usikute na wewe unatokea kwenye ukoo huo.
 
Ndugu zangu, Baadae ndo natoka home naenda kimara kulala.
 
.Tv, Sopha,Radio. Vipo.
Mkuu unaweza kuwa na hivyo vyote lakini pasikuvutie.
-Usafi
-Mpangilio mzuri
- Mazingira mazuri (Utulivu).

Pia kuna mdau hapo juu kagusia upweke. Huo pia unaweza kuwa mzizi wa yote hayo. Ndani kwako unapaona hapavutii hata kuvusha wa kukuondolea upweke unaona soo unaamua ukapaki gari kwa jirani.
 
Yaaani Kuna mda nalala Sehemu ambayo hata kwangu ni pazuri mara 100.
Yaaani we achaaa tu.
 
Si ajabu mkuu,ni mazoea tu
 
Hii hali ipo kabisa. Sababu mara nyingi naamini ni zile za "Inner you".
Mtu wako wa ndani unajaribu kutafuta mahali ambapo patakuwa na utulivu kwake .
 
We nakujua unamkimbia baba mwenye kuhusu kodi ss unatoka kulala ndani kwako unaenda kulala wapi
 
Kama Kuna mtu aje Tunywe wote nimpe Location
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…