Kutokulala Nyumbani

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,065
Mara Chache sana huwa nalala Nyumbani,

Kama Leo, hii nipo nyumbani ila nawaza niondoke nikalale Sehemu ingine.

kwa Wajuzi wa mambo hii Tabia inatokana na ninini. Sipendi hii hali,Natamani kuiacha lakini nashindwa.
Sasa hivi nipo nyumbani ila Natamani niondoke.
 
Una kipato kizuri?! Je una uraibu either wa pombe au wanawake?
 
Pamba kwako, weka fenicha nzuri kama za huko unapotamani kulala. Case closed
 
Ok
unakunywa pombe ?? JE unavuta bangi??

Jibu then TUENDELEEE na mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…