SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Leo tumeshudia twaweza wakiendesha mdahalo wa urais bila ya wagombea kutoka vyama vyenye ushindani mkubwa wa kisisa hapa nchini, hebu tujiulize hii maana yake ni nini?
1. Twaweza imedharaulika?
2. Siasa za nchi yetu bado hazijakomaa?
3. Kunahitajika sheria ndogo ya kuvilazimisha vyama vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuhudhuria midahalo itakayoandaliwa na tume ya uchaguzi na sio twaweza maana imepoteza mwelekeo?
1. Twaweza imedharaulika?
2. Siasa za nchi yetu bado hazijakomaa?
3. Kunahitajika sheria ndogo ya kuvilazimisha vyama vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuhudhuria midahalo itakayoandaliwa na tume ya uchaguzi na sio twaweza maana imepoteza mwelekeo?