Kutokana na maji kujaa eneo la Jangwani na Bonde la Mkwajuni, Udart yasitisha Safari za Mabasi yake.

Jangwani pamejengwa marangapi!? Kwann hilo daraja/barabara isingepita juu kidogo!!!?
 
Kwenye hicho kikristo yupo sawa (american hiyo mjomba) ila kwenye utetezi wake pale juu hayupo sawa...

Lile eneo lilipaswa kuwa juu, yaani daraja iwe na kitu kama hump hivi...then ule mkondo wa maji ungetengenezwa vizuri ukiwa na kingo za zege/simenti...
Samahani mkuu hivi ni u don't know nothing au u know nothing? Umeandika kwa jazba sana kiongozi ahahahhah
 
Hata tukipata au kupewa fedha nyingi kiasi gani we can't get it right. Ni mateso zaidi tu ndiyo yatatupa akili. Huko ulaya isingekuwa baridi kali na barafu inawezekana nao wangekuwa bongo lala kama sisi. Shida, tena shida kubwa hupanua akili. Acha mvua inyeshe, na tena inyeshe kwa fujo zaidi. Ndipo tutapata suluhu ya matatizo yetu ya sasa.
 
Kuna kitu kinaitwa "sustainability". Hiki kitu ni muhimu sana katika maendeleo na hasa kwa nchi maskini. Hivi ukijenga barabara na kuiacha hivyo hivyo ulivyoijenga, itakaa muda gani kabla haijaharibika? Sasa imenyesha mvua kidogo tu tunalalama kila mahali. Kwa nini jiji kubwa kama Dar halina hata kitengo chenye ma-injinia wazawa wanaotembea barabarani kukagua na kufanya marekebisho na matengenezo madogo ya barabara na mifereji ya maji? yaani tuna akili ya kununua midege mikubwa mikubwa lakini hatuna akili ya kutafuta simple solutions zinazoweza kuleta ufanisi na utatuzi wa mambo makubwa?
 
vulnerability of dar es salaam city to impacts of climate ... - pubs.iied.org.

https://pubs.iied.org/pdfs/G02388.pdf?

by D Casmiri - ‎Cited by 9 - ‎Related articles
identified as hazardous lands such as storm water channels. ○ Location: ... Jangwani : ○ This is a slum area ... Transport (destruction of small bridges, erosion of roads). ○ Tourism. ... Kinondoni Coastal Area Management Project. (KICAMP):.
Displacement in Dar es Salaam — Impact Human

www.impacthuman.org/displacement-in-dar-es-salaam

In poorer areas like the floodplains, storm drains barely exist and waterways are ... of Dar es Salaam were specifically focused on for this Project, Jangwani and ...
the case of Dar es Salaam - Environment and Urbanization

eau.sagepub.com/content/25/2/321.full.pdf

by R Kiunsi - ‎2013 - ‎Cited by 45 - ‎Related articles
lacks adequate provision for infrastructure and services such as piped water, sewers, .... density unplanned settlements are a long way from the city centre, and .... through Residential Licences, the 20,000 Plots Project, the Water and ... settlement are exposed to flooding because of their proximity to the Jangwani River and.



Searches related to projec
 
Hujui unachoongea. Unataka wataalamu wakae tena kwa kuwa kuna mapesa ya yasiyo na kazi? Fursa ya utatuzi ndiyo hiyo project ya BRT walipaswa waitumie vizuri lakini waliichezea kwa sababu aliyekuwa waziri wa ujenzi yeye alikalia mambo ya kukurupuka tu na sasa anajiita jiwe! Shame on Maccm yote!

Acha umbumbumbu, waziri wa ujenzi hakuhusika na barabara za jiji.
 
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!

Aliyesimamia ni kampuni inaitwa MECCO miaka ya 1970s na hakukuwa na tatizo wakati huo.

Nyinyi wamachinga ndiyo mlitakiwa mbaki vijijiji mlime mmeishia kujirudnika kwa wingi humu mjini na kujaza mitaa na kujenga ovyo mabondeni.
 
SGR si ndio zinaonekana za muhimu kuliko maisha ya watu tutaona mengi kizazi hiki
 
we ndo mshamba,au hujui vizuri hilo eneo.wakati wa kiangazi hapo utacheza mpira na mkutano utaanda,kipindi cha masika huwezi kufanya chochote.Hapo lilipaswa kujengwa daraja kubwa kabisa kama lile linalotaka kujengwa Coco mpaka masaki.pale jangwani si pa kujenga barabara ya chini hata siku 1.pale ni daraja tena la juu kabisa kama Mfugale au la kigamboni.

pia aneo hilo ni shortcut ya kuelekea city center hivyo ni muhimu likajengwa daraja.Udart waache usanii.Hpo serikali ilibugi n lazim ikubli
acha ushamba wewe, dar umekuja lini? hilo daraja lipo kabla wewe hujazaliwa na kabla ya serikali ya awamu ya pili, tatu nk.
Na hapo jangwani wau walikuwa wana cheza , mpira na hata Papa alipokuja Bongo wakati wa awamu ya pili Misa iliendeshwa hapo.
Lakini leo hii kuna matete nk hivyo kuwa kikwazo cha maji kutembea na mengineo, hapo ni wataalamu kukaa na kuona ni jinsi gani ya kutaua hilo tatizo nasio siasa za ccm vs cdm au za kiongozi huyu vs kiongozi fulani
 
Aliyetoa wazo la makao makuu ya UDART kuwa pale 'mtoni',aliyetoa fedha ya mradi,aliyedesign ujenzi,mhandisi na mkandarasi,kuna haja ya kuhoji elimu zao na uadilifu wao.
 
we ndo mshamba,au hujui vizuri hilo eneo.wakati wa kiangazi hapo utacheza mpira na mkutano utaanda,kipindi cha masika huwezi kufanya chochote.Hapo lilipaswa kujengwa daraja kubwa kabisa kama lile linalotaka kujengwa Coco mpaka masaki.pale jangwani si pa kujenga barabara ya chini hata siku 1.pale ni daraja tena la juu kabisa kama Mfugale au la kigamboni.

pia aneo hilo ni shortcut ya kuelekea city center hivyo ni muhimu likajengwa daraja.Udart waache usanii.Hpo serikali ilibugi n lazim ikubli
kama ni hivyo, washutumiwe viongozi wote kuanzia mkoloni mpaka aliye jenga mara ya mwisho sijui Raisi au kiongozi alikuwa nani?? na issue sio udart maana udart barabara hiyo wameikuta ipo kaika level hiyo wasingeweza kuweka yao juu na hiyo nyingine ibaki chini, .
Utatuzi ni kujenga hiyo miundo mbinu ya kutolea maji kwenye mabonde mengi ya dsm
 
kama ni hivyo, washutumiwe viongozi wote kuanzia mkoloni mpaka aliye jenga mara ya mwisho sijui Raisi au kiongozi alikuwa nani?? na issue sio udart maana udart barabara hiyo wameikuta ipo kaika level hiyo wasingeweza kuweka yao juu na hiyo nyingine ibaki chini, .
Utatuzi ni kujenga hiyo miundo mbinu ya kutolea maji kwenye mabonde mengi ya dsm
kweli kabisa.maana mfano pale ukijenge daraja imara na refu maana yake unatatua tatizo asilimia karibia 100
 
Back
Top Bottom