Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Mmesikia ajira zimepungua kote Serikalini na sekta binafsi
https://www.jamiiforums.com/threads...-kwa-78-1-ndani-ya-mwaka-mmoja.1616523/page-8
Hebu tujadili tufanye nini,...
Mimie mwenzenu naona tugawane saa za kufanya kazi. Saa za kazi ziwe kutokana na umri…
Walitoka chuo 23-30 wafanye saa 16, 30-50 wafanye saa 32 na 50+ wafanye 16 hours
Kwa namna hiyo, watu WOTE wanapata kazi..na ku AFFORD basics...
Sio sasa hivi mizani iko overstretched one side..kuna walioajiriwa na graduates wako wengi bila kazi...tugawane at least kila mtu apate kula..lol
Sijui nimepuyanga?
Mmesikia ajira zimepungua kote Serikalini na sekta binafsi
https://www.jamiiforums.com/threads...-kwa-78-1-ndani-ya-mwaka-mmoja.1616523/page-8
Hebu tujadili tufanye nini,...
Mimie mwenzenu naona tugawane saa za kufanya kazi. Saa za kazi ziwe kutokana na umri…
Walitoka chuo 23-30 wafanye saa 16, 30-50 wafanye saa 32 na 50+ wafanye 16 hours
Kwa namna hiyo, watu WOTE wanapata kazi..na ku AFFORD basics...
Sio sasa hivi mizani iko overstretched one side..kuna walioajiriwa na graduates wako wengi bila kazi...tugawane at least kila mtu apate kula..lol
Sijui nimepuyanga?