quavio wa tz
Member
- Aug 22, 2018
- 88
- 36
Juz nili lala mpenzi wangu baada ya kulala nae kesho yake akaja kuniambia kuwa nilimchubua vimetoka vidonda sehemu za k
Nauliza ivi nikweli hivyo vidonda ni vimetokana na mimi kumchubua au kuna fangasi wowote kama ni fangasi nimpeleke hospitalj akipime au nini kisababishi
Naombeni ushauri kwa wanawke wa jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauliza ivi nikweli hivyo vidonda ni vimetokana na mimi kumchubua au kuna fangasi wowote kama ni fangasi nimpeleke hospitalj akipime au nini kisababishi
Naombeni ushauri kwa wanawke wa jf
Sent using Jamii Forums mobile app