Diamond platnumz na zuchuwasanii ni sehemu ya wa tanzania muhimu
Mjomba ...kwani mmeshindwa kuwalipa??Diamond platnumz na zuchu
Hayo mabilioni mnayowalipa wasanii si mngewalipa hata walimu malimbikizo yao, raisi wanyonge watanzania mpaka wafe
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Utoe pesa za mfukoni kufanya uzinduzi ?!. HAPANABavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!
Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.
Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
Wakijaa kusililiza wasanii kisha wataokoka kutoka utumwa wa beberu na kibataka wao.
Mnakoelekea mtakuwa KANUCCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania...
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi za kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania...
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi za kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Watanzania wanalala,wanaamkia na wanashinda njaa, KANU ilianza hivyo hivyo na ilipotea hewaniNinyi ndio mmekua KANU