Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania...
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.

Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Umesahau uoga wa uchaguzi
Kuua democratisia
Kuwaokopa wapinzani wakati imepita miaka 5 unafanya campein pekeyako
 
waulize fedha za M4C na za wabunge na ruzuku zipo wapi??
Jingalao siku za karibuni, mlimuaminisha Mzee kuwa vyama karibu vyote vya upinzani vimekufa. Na hasa baada ya viongozi wengi wa huko kufika bei. Na kwa sababu Mzee amefanya makubwa . Je bado mna msimamo huo ?!.

Na kama kweli ni hivyo. Mbona mnaogopa box la kura ?!. Na je wapinzani kuenguliwa ndiyo kusema Ccm inakubalika sana kwa wananchi ??!!.

Kama hutojali nijibu kiungwana tu
 
Mikutano ya ccm watu wanaenda kuangalia wasanii uthibitisho ni huu Anglia show za diamond watu wanavyojaa tena kwa kulipa kiingilio kama hii ilikuwa iringa
15625178_358114827885123_5643665968442900480_n-600x338.jpg

je ukiwa bure itakuwaje
 
Jingalao siku za karibuni, mlimuaminisha Mzee kuwa vyama karibu vyote vya upinzani vimekufa. Na hasa baada ya viongozi wengi wa huko kufika bei. Na kwa sababu Mzee amefanya makubwa . Je bado mna msimamo huo ?!.

Na kama kweli ni hivyo. Mbona mnaogopa box la kura ?!. Na je wapinzani kuenguliwa ndiyo kusema Ccm inakubalika sana kwa wananchi ??!!.

Kama hutojali nijibu kiungwana tu
Ulitaka wapinzani waliokosea waachwe bila kuenguliwa?
kuna chama cha upinzani kipo hai kisera??
 
Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!

Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.

Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
Sasa ulitaka atoe hela zake mfukoni
 
Ulitaka wapinzani waliokosea waachwe bila kuenguliwa?
kuna chama cha upinzani kipo hai kisera??
Awamu ya tano ndiyo wapinzani wanakosea kujaza fomu ?!. Na wale waliotekwa, na walionyanganywa mbele ya mkurugenzi (mtama) na wale waliofungiwa milango bila wasimamizi kuchukuwa fomu zao ?!.

Mnapendwa sana, basi waacheni wananchi wachague .
 
Awamu ya tano ndiyo wapinzani wanakosea kujaza fomu ?!. Na wale waliotekwa, na walionyanganywa mbele ya mkurugenzi (mtama) na wale waliofungiwa milango bila wasimamizi kuchukuwa fomu zao ?!.

Mnapendwa sana, basi waacheni wananchi wachague .
Njoo usikie ukweli dhidi ya uongo na ulaghai
 
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania...
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.

Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..

HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
CCM ilizaliwa mwaka 1977 Hadi leo wimbo wenu Ni huo huo. Na hamuoni aibu Wala hamuogopi
 
Back
Top Bottom