wadau nisaidieni kutoka usaa sikioni kunasababishwa na nini na nini tiba yake ? nina mwanagu wa miezi5 wiki nzima anatoka usaa sikioni na dwa za hopitali naona hazimsaiddi
wakati wa kumsafisha na zile pamba stick anakuwa analia sana, nafikiri yatakuwa maumivu
anyways mi nadhani ni chronic otitis media ... Ni infection ya middle ear ambapo inasababisha inflammation .. Ni rahisi watoto kupata huu ugonjwa ...! Nenda kwa dr. Wa ent .. " ni specialist wa hayo mambo"
pia ujue otitis media haiponi within a week on month .. Inachukuwa muda kupona with rights treatments inaweza ikachukuwa hata miezi sita .. So dont giveup with medications ambazo ent doctor atakazo kupa ..! Followups baada ya treatment ni muhimu kwani dactari atakupa apointment ya kurudi kila wiki siku fulani ili apate kusafisha sikio na kuingiza dawa sikioni apart from zile ambao amekupa umpe mwanao.
wakati wa kumsafisha na zile pamba stick anakuwa analia sana, nafikiri yatakuwa maumivu