Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
- Thread starter
- #61
Angalia wakina mama hawa walivyo busy wakitafuta vitoweo. Jambo lililonishangaza ni kwamba sikuona wakina baba wengi katika zoezi hili la uvuvi wa aina hii bali wakina mama walikuwa wengi sana. Kweli wamama ujituma kazi nyingi sana na kipato chao huwa juu sana. Kwa nini wakina baba hawaonekani sana zaidi ya kuwakuta kwenye mnazi!? hiyo wanaweza kujibu wenyewe!
Hii ni barabara nilipita nikienda Msimbati.