kutoka mitaa ya huko Nigeria

Sijaelewa.
Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi.

Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke.

Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo
 
Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi.

Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke.

Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo
hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli
naheshimu imani za watu wote
 
Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi.

Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke.

Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo

Ingawa pia sina uhakika,

Huyo msichana ni kwamba amewahi kutekwa (labda na Boko Haram).

Sasa hivi yuko huru na amegundulika kuwa na ujauzito wa miezi minne.

Ina maana alipewa mimba na waliomteka. Huyo mzee ni mpita njia tu.
 
Kazi ya wapiganaji wa jihad hiyo...! Mungu awarehemu hao ma binti.
 
hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli
naheshimu imani za watu wote
Hukunielewa.

Mimi sikukulenga wewe.

Nilichokusudia mimi ni huu uzi wenyewe, ingawa wewe uliweka kwa nia njema lakini wapo ambao lazima watakuja kivingine ili kukejeli Imani za watu.

Hicho ndicho nilichokusudia mimi.

Upo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…