real G JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 5,227 Reaction score 5,302 Mar 2, 2016 #1 huyu ni msichana aliyekua ametekwa, ana umri wa miaka 14, alikutwa akitembea mitaani akiwa na ujauzito wa miezi 4, japo alikua anajaribu kuuficha 14 Year Old Ese Oruru Is Reportedly 5 Months Pregnant | Nigerian: Breaking News In Nigeria | Laila's Blog
huyu ni msichana aliyekua ametekwa, ana umri wa miaka 14, alikutwa akitembea mitaani akiwa na ujauzito wa miezi 4, japo alikua anajaribu kuuficha 14 Year Old Ese Oruru Is Reportedly 5 Months Pregnant | Nigerian: Breaking News In Nigeria | Laila's Blog
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,513 Mar 2, 2016 #2 Sijaelewa.
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Mar 2, 2016 #3 mkorinto said: Sijaelewa. Click to expand... Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo
mkorinto said: Sijaelewa. Click to expand... Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo
jidula mabambasi Senior Member Joined Jan 26, 2016 Posts 125 Reaction score 102 Mar 2, 2016 #4 Huyu jamaa katoka kupumuliwa au mbona simuelewi
real G JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 5,227 Reaction score 5,302 Mar 3, 2016 Thread starter #5 HARUFU said: Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo Click to expand... hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli naheshimu imani za watu wote
HARUFU said: Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo Click to expand... hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli naheshimu imani za watu wote
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,046 Reaction score 12,542 Mar 3, 2016 #6 HARUFU said: Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo Click to expand... Ingawa pia sina uhakika, Huyo msichana ni kwamba amewahi kutekwa (labda na Boko Haram). Sasa hivi yuko huru na amegundulika kuwa na ujauzito wa miezi minne. Ina maana alipewa mimba na waliomteka. Huyo mzee ni mpita njia tu.
HARUFU said: Ingawa sina uhakika sana, kwa nilivyoelewa mimi. Huyo mzee ni Mume na huyo binti ni Mke. Sema huu uzi una dalili ya kejeli za Kidini, nilikuwepo Click to expand... Ingawa pia sina uhakika, Huyo msichana ni kwamba amewahi kutekwa (labda na Boko Haram). Sasa hivi yuko huru na amegundulika kuwa na ujauzito wa miezi minne. Ina maana alipewa mimba na waliomteka. Huyo mzee ni mpita njia tu.
C Camp Gilgal JF-Expert Member Joined Dec 13, 2014 Posts 4,453 Reaction score 4,594 Mar 3, 2016 #7 Kazi ya wapiganaji wa jihad hiyo...! Mungu awarehemu hao ma binti.
Chakochangu JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 2,668 Reaction score 2,174 Mar 3, 2016 #8 real G said: huyu ni msichana aliyekua ametekwa, ana umri wa miaka 14, alikutwa akitembea mitaani akiwa na ujauzito wa miezi 4, japo alikua anajaribu kuuficha 14 Year Old Ese Oruru Is Reportedly 5 Months Pregnant | Nigerian: Breaking News In Nigeria View attachment 326887 Click to expand... Waungwana ukweli ni upi hapo. Au hizi ni habari mbili tofauti?
real G said: huyu ni msichana aliyekua ametekwa, ana umri wa miaka 14, alikutwa akitembea mitaani akiwa na ujauzito wa miezi 4, japo alikua anajaribu kuuficha 14 Year Old Ese Oruru Is Reportedly 5 Months Pregnant | Nigerian: Breaking News In Nigeria View attachment 326887 Click to expand... Waungwana ukweli ni upi hapo. Au hizi ni habari mbili tofauti?
real G JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 5,227 Reaction score 5,302 Mar 3, 2016 Thread starter #9 Chakochangu said: Waungwana ukweli ni upi hapo. Au hizi ni habari mbili tofauti? Click to expand... mimba ya miezi minne na point na mimba yamiezi mitano is more or less the same thing
Chakochangu said: Waungwana ukweli ni upi hapo. Au hizi ni habari mbili tofauti? Click to expand... mimba ya miezi minne na point na mimba yamiezi mitano is more or less the same thing
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Mar 3, 2016 #10 real G said: hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli naheshimu imani za watu wote Click to expand... Hukunielewa. Mimi sikukulenga wewe. Nilichokusudia mimi ni huu uzi wenyewe, ingawa wewe uliweka kwa nia njema lakini wapo ambao lazima watakuja kivingine ili kukejeli Imani za watu. Hicho ndicho nilichokusudia mimi. Upo?
real G said: hapana, sihawahi kukejeli dini ya mtu na wala sitakaa nikejeli naheshimu imani za watu wote Click to expand... Hukunielewa. Mimi sikukulenga wewe. Nilichokusudia mimi ni huu uzi wenyewe, ingawa wewe uliweka kwa nia njema lakini wapo ambao lazima watakuja kivingine ili kukejeli Imani za watu. Hicho ndicho nilichokusudia mimi. Upo?
F fred madowo JF-Expert Member Joined Jan 8, 2016 Posts 236 Reaction score 83 Mar 3, 2016 #11 Boko haramu washafanya yao
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Mar 3, 2016 #12 mkorinto said: Sijaelewa. Click to expand... Jamaa alieleta mada amesharekebisha, kaweka na maelezo. Tofauti na ilivyokuwa jana, yaani picha bila maelezo. Sasa utamuelewa
mkorinto said: Sijaelewa. Click to expand... Jamaa alieleta mada amesharekebisha, kaweka na maelezo. Tofauti na ilivyokuwa jana, yaani picha bila maelezo. Sasa utamuelewa