Miaka hiyo unafukuzia dem mwaka mzima, hata kama hujamtongoza unawapiga bit washkaji kwamba ni dem wako wasikuingilie, yaani hapo ni full usafi unajitahidi kuoga na kufua pamba ili uonekane mambo safi.
Mobitel ndio mtandao wa kwanza wa mobile ku-operate hapa bongo (Ikawa buzz then ndio tigo ya sasa). Enzi hzo hakukuwa na line cellular zlikuwa zinaitwa vimobiteli.
Mobitel ndio mtandao wa kwanza wa mobile ku-operate hapa bongo (Ikawa buzz then ndio tigo ya sasa). Enzi hzo hakukuwa na line cellular zlikuwa zinaitwa vimobiteli.
Mobitel lilikuwa analogi ukitaka kuweka salio uende kwenye vibanda vya mawakala wanakuwekea salio na kukuunnganisha halafu simu zote za mikononi zilikuwa zinafanana nzito nzito.
Baada ya Mobitel haikuwa tritel? ambayo ofisi zake zilikuwa karibu na maktaba! na simu zao zilkuwa ndogo sio kubwa kama za Mobitel.
Maza nilikuwa naenda nae sana ofisi za tritel alipokuwa anatumia tritel
Mobitel ndio mtandao wa kwanza wa mobile ku-operate hapa bongo (Ikawa buzz then ndio tigo ya sasa). Enzi hzo hakukuwa na line cellular zlikuwa zinaitwa vimobiteli.