Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Habari zilizothibitishwa jeshini na kusambaa kwa kasi ni kuwa;
Tume ya uchaguzi haina nguvu tena kwa sasa hivi, UWT na jeshi ndiyo wanahangaika hapa na pale na kufuata wazee waone nini kifanyike
Matokeo yote ya uchaguzi yatatangazwa kwa amri ya mtu mmoja tu mzito, watapiga simu kwake na yeye ndiye ataamua yatolewe au la!!
Taarifa hii imetolewa leo hii saa 11:20 asubuhi.
Hapa UDSM taarifa hii iko hot kujadiliwa what is happening; Ulinzi kuongezwa hasa nyakati za jioni kuanzia KESHO.
Tume ya uchaguzi haina nguvu tena kwa sasa hivi, UWT na jeshi ndiyo wanahangaika hapa na pale na kufuata wazee waone nini kifanyike
Matokeo yote ya uchaguzi yatatangazwa kwa amri ya mtu mmoja tu mzito, watapiga simu kwake na yeye ndiye ataamua yatolewe au la!!
Taarifa hii imetolewa leo hii saa 11:20 asubuhi.
Hapa UDSM taarifa hii iko hot kujadiliwa what is happening; Ulinzi kuongezwa hasa nyakati za jioni kuanzia KESHO.