Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

CCM wao wenyewe walishakaaga chini na kusema kumshambulia Lowassa ni sawa na kumpandisha chart!
 
Hawa jamaa sjui wanatumia kilevi gani kabla ya kupanda jukwaani

http://m.youtube.com/watch?v=VZdbqAJGf20

Vyombo husika tunataraji hatua kali kwa huu udhalilishaji
Mkuu mbona link haifunguki.pls iweke tena
 
Hivi CCM imeshindwa kabisa kuilazimisha Serikali yao ipeleke mafao ya wastaafu pspf? Kazi ya chama ni nini?

Hao pspf sashivi wameshindwa kabisa, Ukiwapigia simu wanaweza wasipokee siku nzima, siku wakipokea unapewa majibu ya mkatao tu.
Na ukifanikiwa kuunganishwa na watu wa uhasibu, angalau wao ndio wanakupa majibu ya hali ilivyo kwenye file la mtu wenu. Kwamba hazina haijapeleka makato, ila unaweza kuwasiliana na CUSTOMER CARE MANAGER, yeye atajua namna ya kushughulikia madai yenu kwa haraka.

Tatizo sasa, ni namna ya kumpata huyo Customer Care Manager, mara uambiwe hayupo ofisini, mara uambiwe simu yake inaita tu bila majibu. Jamani tufanyeje sasa sisi watu wa huku mbali, na ndugu yetu ni mahututi? BACK TANZANIA
 
Last edited by a moderator:

Pole we mleta umbea maana picha nliyoiona ni ya mwanafunzi wa mkwakwani, moshi hakuna uvaaji wa hao watu waliodondoka. Naandika kwa confidence kwa kuwa naishi moshi ila kikazi naishi tanga so kote kote nakufaham vizuri
 
Mimi huwa ninashangaa na kusikitika sana kuona CHADEMA, Lowasa na Mbowe ambao ni viongozi wenye heshima na wafuasi wengi sana hapa nchini hawamchukulii hatua za kisheria Nape kwa kuwakashifu juu ya kuuziana Chama cha siasa kwa mabilioni ya fedha. Ninajiuliza pia ni kwanini Nape hajatakiwa kuwasaidia Polisi au TAKUKURU kufanya uchunguzi juu ya madai haya ya rushwa kwenye majukwaa ya kisiasa mbele ya maelfu ya watanzania. Hapa juzi karudia tena Iringa kwa kumuingiza Mchungaji Msigwa katika rushwa/mauziano haya eti kachota million 340! Jamani mkewe, ndugu zake na wafuasi watamuelewaje kama hawapati mgao? Huku si ni kuhatarisha maisha yake?

Huyu Nape, hajawahi kutoa ushahidi wowote mahali popote kuhusu madai haya ambayo ni very serious ambayo kama ni kweli ni hatari kwa mustakabali wa kisiasa wa nchi yetu. Hivi ni kweli na haki watu wazima naheshima zenu mkubali kuitwa wezi kwa majina mbele ya halaiki ya watanzania na mkae kimya as if nothing has been said? Wako wapi wanasheiria Kibatala, Lisu, Prof. Safari na Marando? Je? mnataka tuamini kwamba madai haya ni kweli? Kumbuka "Uongo ukirudiwa mara nyingi, watu wengi huamini kuwa ni ukweli" – joseph Goebbels ( mpiga propanda wa hitler)
 
Nape kaka yangu hii Dunia niya Mungu,kumwita mtu aliye hai maiti nimatusi makubwa sana,nakuhakikishia Nape tutakuzika wewe Lowasa akiwa hai hii dunia sio ya ccm maisha na kuishi ni Mungu anatupea sasa wewe unamkosoa Mungu kwa kumpa Lowasa maisha unamwita maiti akiwa hai sasa wewe ndiye utatanguli mbele za haki Lowasa utamuacha hapa Tz akiwa Raisi au akiwa Raia wakawaida.tuheshimu uhai wa watu wengine.
 
hivi kweli tumefikia kiwango hiki wtz?mtu anatoshana na baba yako unamtusi kiwango hicho?mimi siamini kama ni ccm hii inayo fanya kampeni za matusi kama haya
 
Acheni propaganda zenu nyie ufipa...Nape anawapelekesha puta mnakimbilia hapa kutoa povu...
 
Kwani anajua nini huyo Nape???! Amekuwa akibebwa sana na JK. hajawahi kjitafutia amebebwa shauri wazazi wake ndio anakufuri
 
Katika biblia kuna sehemu wameandika kuwa aombae hupewa na abishae mlango atafunguliwa na Mungu

Ninaomba kwa Mungu Nape asione siku Lowasa akiapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania

Awe ameshatangulia mbele kaburini,ndio ombi langu
 



Nadhani nape apewe nafasi akamwulize komba alichokisema kwa mzee warioba then arudi atwambie.

Nahisi nape ana elements za ukichaa so wakati mwingine tumhurumie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…