Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,906
- 10,390
Mengi kawa muoga sana leo.
Hii Mara ya pili nakuona unaandika kimstari kimoja tu, nini kimekufika ndgHii ni hoja muhimu sana.
P.
Usikute Ashanyooshwa au yupo mikononi mwa wale ndugu zetu wasiojulikana?Hii Mara ya pili nakuona unaandika kimstari kimoja tu, nini kimekufika ndg
sasa mbona wanasifia tuwale aliowataka waishi kama mashetani leo kaamua kuwaita tena na kuwataka waseme wanavyojisikia sasa.
kazi kwelikweli!
hata mimi nawashangaa,sasa mbona wanasifia tu
Hili Jamaa Linakeraaaaaaaaaa,
Leo March 19, 2018 Moja ya shughuli inayoendelea ikulu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli Ambae ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara anaongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo.
Akifungua mkutano huo Rais Magufuli amewataka wanaohusika na masuala ya Viwanda ndio wazungumzie Viwanda “Unamkuta mtu hana kiwanda lakini kila siku anazungumzia Kiwanda, hana kiwanda hata cha Pipi, nimeamua nyinyi wenye viwanda ambao mnazipata hizo changamoto tujue tatizo ni nini?”
Mkuu sio sawa kumtolea maneno ya namna hiyo Rais ya nchi tena ambaye anaweza kuwa baba yako, hivi imagine angekua ni baba yako ndo anaambiwa maneno kama hayo ungejifikiriaje wewe unastarihi kukaa ndani maisha yako yoteHili Jamaa Linakeraaaaaaaaaa,
- Hivi CCM walikosa kabisa mtu wa kumpa nchi, wakaona huyu Mbwiga ndo anafaa ??
Kesha kanywaHii Mara ya pili nakuona unaandika kimstari kimoja tu, nini kimekufika ndg
Ukiongea tofauti mageti hayafunguki.. Unaweza kujikuta kisiju unasubiria nazi mbatatazamani ilikuwa mkutano kwenye huu ni kwenye mahotel makubwa, sasa hivi nyumbani ikulu....
Utoto unamsumbua halafu akijikuta yuko mafinga aanze kusumbua wazazi wakeMkuu sio sawa kumtolea maneno ya namna hiyo Rais ya nchi tena ambaye anaweza kuwa baba yako, hivi imagine angekua ni baba yako ndo anaambiwa maneno kama hayo ungejifikiriaje wewe unastarihi kukaa ndani maisha yako yote
kabisa....Ukiongea tofauti mageti hayafunguki.. Unaweza kujikuta kisiju unasubiria nazi mbatata