Kutoka hapa mpaka hapa

Ila mimi kusamehe daah! Sijui nipoje?! Yaani mtu akinivuruga mara moja tu ndo basi tena, hali hii imesababisha nigombane na watu wengi sana, yaani tatizo langu jambo dogo naweza kulikuza likawa kuuuubwa, ila sio mbaya maana nimeshajitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…