Kutoka Arusha: Kongamano la wasomi na wafanyabiashara, yupo Dr. Mashinji - Katibu Mkuu wa CHADEMA

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,234
1,814
Kongamano la kihistoria leo Arusha.Nafasi ya wasomi na wafanyabiashara katika kujenga uchumi wa nchi.
Watoa mada ni
1.Dr Mashinji Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa
2.Prof Baregu mhadhiri SAUT
3.Dr Eliamani Lalitaika mhadhiri Mandela univerisity
4.Mh Sumaye waziri mkuu mstaafu
5.Mh Meya wa Arusha

Prof Baregu
Nani kati ya washiriki hana wasiwasi wa maisha?
Anatoa mfano wa tamko la Rais alipokuana na wakandarasi kuwa hata yeye Rais ana wasiwasi. Tumefikaje hapa?
Je matokeo ya uchaguzi yalikuwaje?nini hasa kilitokea?anatoa mfano wa uvamizi wa tallying center uliofanywa wakati wa uchaguzi
Pia uchaguzi wa Zanzibar ulifutwa na mwenyekiti kihuni

Updates
Mh Sumaye
Sio dhambi CCM kuondolewa madarakani.Katiba yetu inatoa uburu wa mawazo lakini watu hawana uhuru huo kutokana na hofu ambayo wasomi na wafanyabishara wamejengewa na CCM
 
Poa kamanda kama unaweza kuwa unatutupia updates itakuwa poa zaidi
MABADILIKO LOWASA
Lowasa mabadiliko
Huku hadhira ikizungusha mikono iliyobeba viganja.... Puuuuuuuuuuu
 
Ukumbi umejaa wasomi na wafanyabiashara kutoka taasisi mbalimbali.Viongozi wameingia ndani ya ukumbi
Dr Mashinji amefungua kongamano rasmi,kwa kuwaeleza kuwa lengo la CHADEMA ni kutoa sera mbadala
Anafafanua itikadi ya CHADEMA
 
Mh Sumaye
Sio dhambi CCM kuondolewa madarakani.Katiba yetu inatoa uburu wa mawazo lakini watu hawana uhuru huo kutokana na hofu ambayo wasomi na wafanyabishara wamejengewa na CCM
 
Sasa ni Prof Baregu
Anaanza kuelezea dhana ya utumbuaji majipu,na madhara yake kwa jamii kwa ujumla
Kwamba hadi sasa hayo majipu hayajulikani yamesababishwa na kitu gani ili hata baada ya kutumbukiwa yasirudie tena
 
Kongamano la kihistoria leo Arusha.Nafasi ya wasomi na wafanyabiashara katika kujenga uchumi wa nchi.
Watoa mada ni
1.Dr Mashinji Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa
2.Prof Baregu mhadhiri SAUT
3.Dr Eliamani Lalitaika mhadhiri Mandela univerisity
4.Mh Sumaye waziri mkuu mstaafu
5.Mh Meya wa Arusha

Prof Baregu
Nani kati ya washiriki hana wasiwasi wa maisha?
Anatoa mfano wa tamko la Rais alipokuana na wakandarasi kuwa hata yeye Rais ana wasiwasi

Updates
prof Baregu
Tumefikaje hapa?
Je matokeo ya uchaguzi yalikuwaje?nini hasa kilitokea?anatoa mfano wa uvamizi wa tallying center uliofanywa wakati wa uchaguzi
Pia uchaguzi wa Zanzibar ulifutwa na mwenyekiti kihuni
Hapo ni kongamano la ufipa
Tunaomba updates mkuu, ikiwezekana hata picha
 
Utawala wa kifashisti
Ni aina ya utawala unaoongozwa na wachache ambao ndio wenye hekima,wenye uadilifu,wenye weledi,wenye ukweli wote,utawala ambao mfumo wote unasjmamiwa na kikngozi mmoja
Ni utawala unaoshabikia zaidi matendo kuliko FIKRA(hapa kazi tu)
Ni utawala usiozingatia wala kujali haki za binadamu
Ni utawala unaotafuta wachawi,utawala unaochangani
 
Back
Top Bottom