Nani James
Member
- May 25, 2016
- 82
- 27
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu