Kutochaguliwa chuo kikuu mwaka huu

Kutochaguliwa chuo kikuu mwaka huu

Nani James

Member
Joined
May 25, 2016
Posts
82
Reaction score
27
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu
 
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu
nausa dawa aje nimpe dawa sa kuondoa mikosi
 
A
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu
amejaza vyuo gan tumsaidie kuangalia tena!!
 
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza hajachaguliwa,,hapo inakuwaje wakuu
asubiri second batch,haraka za nini?
 
Sasa si usubiri anaweza kuwa amepelekwa saut main campus Mwanza? Ambayo bado hawajatoa!!!!! Sio lazima apelekwe tawi alilojaza yy
 
udism,mkwawa,sauti mbeya na Ruco vyote bachelar of art with education kasoro mkwa ni IN education jina anaitwa SIMKOKO Frodester Ezra
Oukey awe na subra coz bado saut hawajatoa campus zote !!wametoa ya arusha tuu!!asiwe na was
 
Wametoa first batch, wanaendelea kutoa. Kama aliambiwa amechaguliwa asubirie watoe batch zingine. Wakati mwingine kozi zingine zinakuwa na banch hadi nne
 
Back
Top Bottom