Kutoa pepo au Maruahani

Kutoa pepo au Maruahani

Makanyagio

Senior Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
125
Reaction score
30
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.

Ina maana hujui sheikh anapopatikana.....!?? Unajitekenya mwentewe na kucheka mwenyewe.
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.

Waislam hawatoi mapepo,wanapunga mapepo ,ndo maana wanayajua majina na siku yanayoweza kurandaranda mitaani
 
Nachoujua sio wote wanoweza kutoa pepo ndo maana nikauliza shekhe anaetoa pepo. Msifanye masighara maana kwa hali ilivyo uenda nikampeleka kwa mchungaji wa wakristo. Tiba zote na vipimo vya hospitali vimeshafanyika hakionekani kitu kilichobaki swala tu.
 
Unajua kupunga pepo,Ni kuliuliza linataka lifanyiwe nini litulie,kwa hiyo litatulia kwa muda baadae litalipuka tu. Sasa wewe peleka kwa Mchungaji atafukuza kama yesu.
 
ni uwamuzi wako mwenye amua kisha utatufahamisha tena kama hao wachungaji wameweza kutoa. achana na drama za kwenye tv.
 
Only the name of Jesus is power to cast all demons.kuna pastor mmoja wa iringa ni balaa paka viziw wanasikia matasa wanazaa na ukikutana nae tu kama kwel una matatizo anakuambia.the man is.simple bt strong in faith.HALELUYA
 
Tatizo unaweza kuta tatizo co mtoto na mzazi pia anachangia pengine inawezekana na wewe una mambo ya kishirikina lkn hujitambui tafuta chanzo cha mwanao kuwa na mapepo ila hakuna la kumshinda mungu yote yanawezekana kwake aaminie co lazima pastor au sheikh unaweza kukemea mwenyewe na kuvunja
 
Tatizo unaweza kuta tatizo co mtoto na mzazi pia anachangia pengine inawezekana na wewe una mambo ya kishirikina lkn hujitambui tafuta chanzo cha mwanao kuwa na mapepo ila hakuna la kumshinda mungu yote yanawezekana kwake aaminie co lazima pastor au sheikh unaweza kukemea mwenyewe na kuvunja

Usimsabishie sheedah! Ishara ya kutoa pepo kwa jina la yesu zifuatana na waaminio. Huyu pepo linaeza mvagaa na yeye akijaribu.
 
Kwa jina la Yesu mnazaleti toka pepo toka easy tu haya sema atoke sasa, mpeleke kwa pastor hukooo sjui ndo askofu
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.

anapatikanwa ilala, kwa shkh mohammed nduli, baina ya mtaa wa newala na arusha kama sikosei
au naweza kukuPM no yake,
ni mzuri na anatibu vzr sana.
ni yule shkh anaelezea kwenye radio/tv imaan
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.
Only in the Name of Jesus
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.
Si rahisi kwa Sheikh kufukuza mapepo. Wanayatuliza tu lakini mgonjwa anaendelea kuteseka kama kawaida. Hayo mapepo ni mali yao, wanayafuga. Wayafukuze tena kwenda wapi?
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.
Hao wakristo wanafanya maigizo tu,hawatoi pepo wachafu wala "wasafi",katika uislamu kuna vitabu vinamaelekezo ya kufanya,ni wewe mwenyewe waweza fanya bila kwenda kwa mtu kukufanyia.Vitabu hivyo vinauzwa sehemu nyingi nje ya misikiti na kwenye maduka ya vitabu vya kiislamu.
 
Si rahisi kwa Sheikh kufukuza mapepo. Wanayatuliza tu lakini mgonjwa anaendelea kuteseka kama kawaida. Hayo mapepo ni mali yao, wanayafuga. Wayafukuze tena kwenda wapi?
Wakristo wengi wana mapepo,ndio mana unaowaona wanaoambiwa wanatolewa mapepo ni wakristo.Wakristo wanawafuga hawa mapepo,yakiwageukia ndio wanajifanya wanawatoa.
 
Hivi ndugu zangu waislam niwapi naweza mpata shekhe aniombee mtoto wangu atokwe na mapepo yanayomsumbua? Hawa ndugu zetu wakristo nimeona mara kadhaa wakiombea watu na mapepo yanatoka lakini nasita kumpeleka mwanagu uko.

Huna uislamu wowote,kafiri hata akidanganya vp kuhusu uislamu atajulikana tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom