Kutoa hela kwa boyfriend

mm mke wangu mtarajiwa mpaka boxer ananinunulia
 
sio lazima kumpa hela ata kama uyo bi dada anakazi nzuri uyo ni boyfriend/girlfriend yan unaazaje kushirikiana nae biashara au ujenzi??unajipenda au ndomana kasepa baada ya kuona hapewi hela doh, ni mume tu ndio wa kushirikiana nae kwa faida ya wanenu,na kama kamwacha kwa sababu iyo uyo sio mwanamme ni bonge la mario akakope benki,saccos nyambafu
 
Mimi mwenyewe kwa upande wangu sikubaliani na swala la kuanza kukopeshana na kushare biashara na mwanaume ambae siyo mume wako kila mtu afanye vtu vyake mwenyewe wanaume wengi cku hizi wanapenda sana mtelezo kuliko hata wadada

Acheni ubinafsi nyinyi, kuna wanawake wangapi wanao lipiwa kodi za nyumba, kununuliwa magari na hata kusomeshwa na ma boyfriend zao?
 
mwambie hasijaribu kutoa hiyo hela atakuja kujuta pesa hatorudishiwa ila Mme atapata mwingine mwanaume gani akurudishie hiyo pesa? tunasharega wapenzi bila kujua ila sio pesa aku sikupi hela yangu tho niko radhi kukupa zawadi sio pesa loh


umenichekesha jamani
 

unafaa kua mwalimu hela isiwe lazima halafu hii tabia boys kutaka hela kwa lazima kwa girlfriends zao wanajifunzia wapi?
 


haahhaaaa nimekuelewa sana,ila una wazimuuu😀
 

wewe umenena kabisa,uanamme wa vijana wetu wa siku izi una walakini,mtu huumwi au hujapata shida nzito labda ajali msiba nk mwanamme unainuka uyooo eti uhusiano basi ukiulizwa girlfriend ana hela ila hajanikopesha/kunipa nna shida zangu,na ukute apo ata anachokitaka kufanyia iyo hela hujui...
 
haahhaaaa nimekuelewa sana,ila una wazimuuu😀
Wazimuuu tena!
Eeeh hauna kakazi kazuri na mimi unikopeshemoo hata kalaki [emoji45] [emoji45]
 

Kumpa mwanamke asie mkeo wa ndoa ndio mnaona sawa...poleni.
 
Wazimuuu tena!
Eeeh hauna kakazi kazuri na mimi unikopeshemoo hata kalaki [emoji45] [emoji45]

nahudumia mme tu now na mme ndio unatakiwa kumsaidia mana ni mwenzio sasa,pole asee
 
nahudumia mme tu now na mme ndio unatakiwa kumsaidia mana ni mwenzio sasa,pole asee
Asante aseeh. Mume anapeleka kwa mchepuko. BTW mwambie rafiki yako wala siombi na kukopa pesa kwa KE..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…