Kutoa harufu mbaya puani

ndio nini hiyo mkuu?
Kwenye paji la uso(skull) kuna maeneo ya wazi ambayo yana kazi kadhaa ikiwemo kufanya fuvu liwe jepesi,kusaidia ukuaji mzuri wa fuvu,kurekebisha hewa iingiayo puani iwe na unyevu mzuri nk...sehemu hizi huitwa SINUSES....zipo za aina nne kulingana na location...
Juu kabisa ya uso kuna Frontal Sinuses then kati ya macho kuna Ethmoid Sinuses....pembeni ya pua kuna Maxillary Sinuses na pembeni kabisa karibu na masikio kuna Sphenoid Sinuses.

Hizo zote huwa zina majimaji(yenye uzito na unene specific) ambayo humwagwa kwenye njia ya pua na either kumezwa au kutoka nje ya pua kama kamasi nyepesi.

Ikitokea maeneo hayo tajwa yamepata maambukizi(bacteria,virus,fungus) basi majimaji yake hubadilika uzito na unene wake na hivyo huenda hata njia ya kuyafanya yashuke chini huzibika.

Kwa namna hiyo basi maji hayo hugeuka kuwa mazalia ya bacteria/fungus na kutoa harufu kali.
Mara nyingi muhusika huwa hasikii harufu hiyo kwa kuwa eneo ambalo linamfanya mtu aweze kunusa harufu lipo katika pua pia(Olfactory area)...hii huitwa Ozaena.

Cha kufanya...

Muhusika aende kwenye hospital yenye wataalamu wa ENT(Otorhinolaryngologists) ili aweze kufanyiwa uchunguzi katika njia ya hewa na Sinuses...
Kama ikithibitika basi kuna dawa atapewa lakini pia anaweza kufanyiwa operation ya kusafisha eneo husika.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huu ugonjwa wa harufu mbaya puani ni ugonjwa unaoenea kwa kasi sana kwa sasa na watu wengi sana wana huu ugonjwa na unaenezwa kwa njia ya hewa. Watu wengi sana wanaumwa huu ugonjwa sijajua unasababishwa na nn. Nenda kwa daktari haraka.na unaenezwa wakati wa kusex ila iwe muda mrefu. Hasa wanandoa akiupata mmoja lazima na mwingine augue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajameni kuna hili tatizo lakutoa harufu puani
Nina rafiki yangu nashindwa kumueleza kutokana na ukaribu nilionao nayeye hakika ukiakaa karibu nae anatoa harufu mbaya puani nashidwa kulewa tatizo nn, kama kunaayejua tatizo linasababishwa nann na tiba nn tujuzane jameni, ahsante
Kama bado hujapata majibu soma link hapa
Bad smell in nose: Causes, treatments, and prevention

Muhtasari
Sinusitis, maambukizo ya kinywa, na vyakula fulani, vinywaji, na tabia ya maisha kawaida huwa nyuma ya harufu mbaya puani.

Kwa kawaida watu wanaweza kuondoa harufu mbaya puani kwa kutumia tiba za nyumbani, kujaribu dawa za OTC, na kufanya mabadiliko ya mtindo wa maisha.

Walakini, harufu mbaya kwenye pua inaweza kupunguza maisha ya mtu na kusababisha shida kama vile utapiamlo. Inaweza pia kuwa ishara ya hali ya msingi ambayo inahitaji matibabu.

Mtu anaweza kuzungumza na daktari wake juu ya harufu mbaya au sugu mbaya kwenye pua, zile ambazo hazijibu tiba za nyumbani, au zile ambazo hudumu zaidi ya wiki.
 
Kwenye paji la uso(skull) kuna maeneo ya wazi ambayo yana kazi kadhaa ikiwemo kufanya fuvu liwe jepesi,kusaidia ukuaji mzuri wa fuvu,kurekebisha hewa iingiayo puani iwe na unyevu mzuri nk...sehemu hizi huitwa SINUSES....zipo za aina nne kulingana na location...
Juu kabisa ya uso kuna Frontal Sinuses then kati ya macho kuna Ethmoid Sinuses....pembeni ya pua kuna Maxillary Sinuses na pembeni kabisa karibu na masikio kuna Sphenoid Sinuses.

Hizo zote huwa zina majimaji(yenye uzito na unene specific) ambayo humwagwa kwenye njia ya pua na either kumezwa au kutoka nje ya pua kama kamasi nyepesi.

Ikitokea maeneo hayo tajwa yamepata maambukizi(bacteria,virus,fungus) basi majimaji yake hubadilika uzito na unene wake na hivyo huenda hata njia ya kuyafanya yashuke chini huzibika.

Kwa namna hiyo basi maji hayo hugeuka kuwa mazalia ya bacteria/fungus na kutoa harufu kali.
Mara nyingi muhusika huwa hasikii harufu hiyo kwa kuwa eneo ambalo linamfanya mtu aweze kunusa harufu lipo katika pua pia(Olfactory area)...hii huitwa Ozaena.

Cha kufanya...

Muhusika aende kwenye hospital yenye wataalamu wa ENT(Otorhinolaryngologists) ili aweze kufanyiwa uchunguzi katika njia ya hewa na Sinuses...
Kama ikithibitika basi kuna dawa atapewa lakini pia anaweza kufanyiwa operation ya kusafisha eneo husika.

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu umeeleza vizuri

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom