Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Si mara moja ama mbili ni mara kadhaa hapa mkekani, nimekutana na thread kibao membars wanajiumbua kwa kutoa SIRI ZAO NYETI NA CHAFU! . Utamsikia membar anasema ; mf.
> Nilitembea na na mtu na nduguye (wa toka'ntoke)
> Nilitembea na Baba/Mama mkwe >Nilighilibiwa nikatoa Tigo!.
Japokua Membars wengi twafahamiana kwa details bandia, na je? Ikatokea vya kutokea ikaja siku tukakutanishwa tutatizamanaje usoni ? Kukutana na aliekwisha liwa Tigo ? Nyuso hazitawashuka watu ?
Au kulishawahi toka tangazo Jf membars daima hadi kiyama hawatokuja onana?
Labda mie ndiyo sijajua umuhimu wa kujitangaza kama si kujidani siri chafu ?
Zipi faida maridhawa kufanya hivyo ?
Nini umuhimu wake?
Naomba kutoa hoja!
> Nilitembea na na mtu na nduguye (wa toka'ntoke)
> Nilitembea na Baba/Mama mkwe >Nilighilibiwa nikatoa Tigo!.
Japokua Membars wengi twafahamiana kwa details bandia, na je? Ikatokea vya kutokea ikaja siku tukakutanishwa tutatizamanaje usoni ? Kukutana na aliekwisha liwa Tigo ? Nyuso hazitawashuka watu ?
Au kulishawahi toka tangazo Jf membars daima hadi kiyama hawatokuja onana?
Labda mie ndiyo sijajua umuhimu wa kujitangaza kama si kujidani siri chafu ?
Zipi faida maridhawa kufanya hivyo ?
Nini umuhimu wake?
Naomba kutoa hoja!