Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Yawezekana neno riba kwa kiarabu lina maana mbaya ila riba wanachukua. Kama riba ni dhambi hata biashara ni dhambi PiaNi Unafiki mwingine kama wale Waislam wanaosema hawataki Riba ila wanakubali faida