Kutenguka kwa bega (Shoulder Dislocation)

Mwamba028

JF-Expert Member
Nov 15, 2013
4,548
3,550
Wakuu natumai mko salama, poleni na heka heka za umeme.

Nimekuwa na tatizo la kutenguka kwa bega kwa zaid ya miaka 15, yan dislocation ya kwanza nlipata around 2005 baada ya hapo nimekuwa nikipata hii shida kila baada ya muda flan, sometime naeza kaa ht miez 6 bila kutokea.

Na kila nkipataga hii shida huwa napambana nalirudisha ila kwa maumivu makali sana, na km mara 2 ishawahi tokea likagoma kurudi mpk nikapelekwa hospitali.

Sasa juzi hii shida imenipata tena na likagoma kurudi kbs ikabd niombe msaada nikimbizwe Moi, wkt napelekwa hosptal likarud nikiwa kwenye gari.

Naomba nipate ushauri ni nini naeza kufanya niepukane na hii hali mazima? Mana maumivu yake hayaelezeki asee.

N.B: Last time Moi nliambiwa misuli yangu ya bega haiko imara bc nikapewa dawa za mwz mzima na nkawa naatend physiotherapy kwa mwz mzima lkn baada ya muda tatzo liliendelea.

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Wakuu natumai mko salama, poleni na heka heka za umeme.

Nimekuwa na tatizo la kutenguka kwa bega kwa zaid ya miaka 15, yan dislocation ya kwanza nlipata around 2005 baada ya hapo nimekuwa nikipata hii shida kila baada ya muda flan, sometime naeza kaa ht miez 6 bila kutokea.

Na kila nkipataga hii shida huwa napambana nalirudisha ila kwa maumivu makali sana, na km mara 2 ishawahi tokea likagoma kurudi mpk nikapelekwa hospitali.

Sasa juzi hii shida imenipata tena na likagoma kurudi kbs ikabd niombe msaada nikimbizwe Moi, wkt napelekwa hosptal likarud nikiwa kwenye gari.

Naomba nipate ushauri ni nini naeza kufanya niepukane na hii hali mazima? Mana maumivu yake hayaelezeki asee.

N.B: Last time Moi nliambiwa misuli yangu ya bega haiko imara bc nikapewa dawa za mwz mzima na nkawa naatend physiotherapy kwa mwz mzima lkn baada ya muda tatzo liliendelea.

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app

Habari!
Ninalitizama kwa maono haya:

1: Je marudio ya kuteguka ni kutokana na madhira ya mteguko wa kwanza/damage?

2: Je una hyperflexible joints tangu kuzaliwa, ambayo hali hii ndo hupelekea kuteguka kirahisi?

NB: Nadhani mtu ambaye alikuona pale MOI alikuwa na yuko kwenye nafasi nzuri kutoa ushauri, hata kwa kushirikiana na wenzake. Hapa ushauri utatofautiana kulingana na tatizo la msingi.
 
Habari!
Ninalitizama kwa maono haya:

1: Je marudio ya kuteguka ni kutokana na madhira ya mteguko wa kwanza/damage?

2: Je una hyperflexible joints tangu kuzaliwa, ambayo hali hii ndo hupelekea kuteguka kirahisi?

NB: Nadhani mtu ambaye alikuona pale MOI alikuwa na yuko kwenye nafasi nzuri kutoa ushauri, hata kwa kushirikiana na wenzake. Hapa ushauri utatofautiana kulingana na tatizo la msingi.
1. Kuna uwezekano mkubwa kuwa mteguko wa 1 na damage yake ndo vinasababisha miteguko mingine, ila pia kufanya mazoez makali yaeza kuwa sbb cz nlikua nmeanza mazoez ya push ups

2. Sina hyo hyperflexible cz linaloteguka ni bega 1 la kushoto na huandamana na maumivu makali

Any way leo nlienda hosptal na dr akapendekeza nifanyiwe MRI, nimefanya leo majibu ntapata ijumaa inshallah.

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
1. Kuna uwezekano mkubwa kuwa mteguko wa 1 na damage yake ndo vinasababisha miteguko mingine, ila pia kufanya mazoez makali yaeza kuwa sbb cz nlikua nmeanza mazoez ya push ups

2. Sina hyo hyperflexible cz linaloteguka ni bega 1 la kushoto na huandamana na maumivu makali

Any way leo nlienda hosptal na dr akapendekeza nifanyiwe MRI, nimefanya leo majibu ntapata ijumaa inshallah.

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app

Hili ni jema, itakupatia nafasi nzuri ya nini kifanyike kutibu na kujikinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom