Kutengenezewa Application ya kwenye simu

Kutengenezewa Application ya kwenye simu

winchester

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
285
Reaction score
334
Habari. Nahitaji kutengenezewa application iwe na uwezo wa kufanya kwenye simu aina zote . Ambayo ni kama library na mtu anaweza download pdf files. Iwe ni ya kulipia kwa baadhi ya vitu na vingine vitakuwa bure. Naomba gharama zako za kutengeneza application au tunaweza kufanya partnership kwenye kazi hiyo.
 
kabla hujatafuta developer gharama za kueka app store
-windows phone dola 16
-android bure
-ios(iphone) ni dola 99

hivyo kueka tu app store zote uwe na kama 250,000
then jumlisha na hela ya kudevelop hio apps

then angalia kama italipa
 
kabla hujatafuta developer gharama za kueka app store
-windows phone dola 16
-android bure
-ios(iphone) ni dola 99

hivyo kueka tu app store zote uwe na kama 250,000
then jumlisha na hela ya kudevelop hio apps

then angalia kama italipa
asante sana . Sasa hakuna developer unayemfahamu mwenye bei nzuri au hata member humu jf
 
kabla hujatafuta developer gharama za kueka app store
-windows phone dola 16
-android bure
-ios(iphone) ni dola 99

hivyo kueka tu app store zote uwe na kama 250,000
then jumlisha na hela ya kudevelop hio apps

then angalia kama italipa

Android ni dola 25 ili uweze kufungua developer account.
 
Habari. Nahitaji kutengenezewa application iwe na uwezo wa kufanya kwenye simu aina zote . Ambayo ni kama library na mtu anaweza download pdf files. Iwe ni ya kulipia kwa baadhi ya vitu na vingine vitakuwa bure. Naomba gharama zako za kutengeneza application au tunaweza kufanya partnership kwenye kazi hiyo.

Tafadhari nitafute kwa email hii:
jaberamatogoro@gmal.com

Tutaongea na kukubaliana kuanza kazi Mara moja
 
Ina maana wataalamu wa hii kitu wapo wachache hivi
Wanaoweza kutengeneza tupo wengi tu, sema tunaipuuzia kazi sababu its not even a challenge. Tutakwambia bei utakimbia.
Unajua kusema itumike simu aina zote, developer aanze na iOS, aje Android then Windows, lazima upange milioni kwenda juu.
Hapo naongelea native, kusema mtu afanye HTML5 app inawezekana, akatengeneza moja na ikarun kwenye OSes zote lakini tatizo la HTML5 apps ziko very slow na zina limits nyingi, so developer yoyote aliye serious atakimbia kutengeneza mobile apps kwa kutumia HTML5.
 
kabla hujatafuta developer gharama za kueka app store
-windows phone dola 16
-android bure
-ios(iphone) ni dola 99

hivyo kueka tu app store zote uwe na kama 250,000
then jumlisha na hela ya kudevelop hio apps

then angalia kama italipa
Tena hiyo ya Apple ni kwa mwaka.

Anyway ntakutengenezea ya Android/WP nacharge $25/hour. Leta specification kamili nikupe estimate.
 
Wanaoweza kutengeneza tupo wengi tu, sema tunaipuuzia kazi sababu its not even a challenge. Tutakwambia bei utakimbia.
Unajua kusema itumike simu aina zote, developer aanze na iOS, aje Android then Windows, lazima upange milioni kwenda juu.
Hapo naongelea native, kusema mtu afanye HTML5 app inawezekana, akatengeneza moja na ikarun kwenye OSes zote lakini tatizo la HTML5 apps ziko very slow na zina limits nyingi, so developer yoyote aliye serious atakimbia kutengeneza mobile apps kwa kutumia HTML5.
mimi sio mtaalamu wa hayo mambo. Nahitaji kupata application ntakucheki pm. Kama tunaweza fanya kazi
 
Habari. Nahitaji kutengenezewa application iwe na uwezo wa kufanya kwenye simu aina zote . Ambayo ni kama library na mtu anaweza download pdf files. Iwe ni ya kulipia kwa baadhi ya vitu na vingine vitakuwa bure. Naomba gharama zako za kutengeneza application au tunaweza kufanya partnership kwenye kazi hiyo.
Tupatie Requirements zako, tutakujulisha. Gharama zetu ni nafuu mno.

For ANY APP, in your own brand name....
(Mobile & Web)
At an affordable price !!
Visit or Contact at our office to give us your requirements;
Nyegezi, Kuzenza Street,
P.O.Box 4127
Mwanza, Tanzania.
Call: +255738315557
E-mail: karibu@mihambos.com
"We Deliver What Others are Promising"
 
Back
Top Bottom