kutengeneza vitu vya 3d

kutengeneza vitu vya 3d

rashid akida

Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
6
Reaction score
1
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:
 
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:

Zipo nyingi ila inategemea na level yako katika masuala ya Amination, wewe ni expert au beginner?
 
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:

Mkuu kama ulivyoambiwa zipo nying,binafsi natumia 3ds max.
 
Zipo nyingi ila inategemea na level yako katika masuala ya Amination, wewe ni expert au beginner?
hujui kumsoma mutu mkuuu??? hajui hata program gani atumie halafu unamuuliza kama expert au beginner?? amination ndio nini??
 
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:

blender, the best open source for 3d animation
 
@3D njoo umwelekeze huyu member mwenzetu. Pia kaka kama uko interested jaribu kuona katika threads za zamani za 3D.
 
nitafute nikupe msaada ndugu, kama hiyo project ni kubwa kama unavyosema suala la kuanza kujifunza wewe mwenyewe kutengeneza 3D utakuwa unajidanganya......ni PM nipe namba yako then nitakusaidia nini cha kufanya
 
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:

umekula kona watu wanakupa majibu itakuwa uvumilivu ulipata F sio bure..
 
Back
Top Bottom