ukipoteza noti yako ya shiling elfu kumi, ukaamua kwenda kutafuta noti feki, je unaweza kutetea kumiliki hiyo noti feki kwa kigezo kuwa ulisha ibiwa noti yako orijino?.
kile cheti hakikuwa chako kilikuwa cha necta kikatolewa kwako, kama umepoteza na wamekupa document inayoonyesha ulipoteza basi tumia document hiyo hiyo, wewe ku-print feki ni kosa na unaweza kufungwa, ni hatari hiyo. kumbuka siyo kuwa hawakupi kingine kwakuwa hawawezi kuprinti kingine, huu ndo utaratibu wao.