Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #21
wewe umefata nini hapamh!!!!!!asubuhi ya j4 we unawaza mapenzi!!!!!huchoki?mapenzi hayana mwisho yalikuwepo tangu Adam na Hawa,na leo yamekuwepo mpaka Adam Malima na mnyarwanda wake aliyemuibia,kesho ni mimi na wewe,na yataendelea,fanya kazi wewe,ningojetuje tukutane nikupagawishe!!!!!!!