madamu bahati
Member
- Dec 8, 2019
- 5
- 184
KUTEMBEA NA MUME WA MTU/MKE WA MTU SIO UJANJA NI UJINGA...
Ujinga ni pale unatembea na mume wa mtu lakini unakazana kutuma picha za uchi kwa mke wake kwa madai kuwa unamkomoa mke wake;
(1) Mwenzako kaolewa, ana ndoa na likitokea la kutokea anarudi kwa mkewe, yaani unamringisgia kumpata mume wake wakati yeye alishampata kitambo na ndani kawekwa!
(2) Hakuna kipya ambacho unamtumia na yeye hana, kwamba kamaa ni hivyo vifaa vyako unavyotaka avione basi nayeye anavyo, nikujidhalilsiha tu unamtumia uchi wako mwanamke mwenzako akuone ili nini, kwamba atagundua kuwa wakwako una madini labda atajisikia vibaya kuwa wakwako upo mabegani?
(3) Unatuma mnafanya mapenzi na mume wake, sasa kuna kipya kipi, mwenzako kafanya, kashamtumia huyo mwanaume na inawezekana na kuzalishwa kazalishwa, kwamba labda kuna staili mpya umegundua kwamba mkifanya mapenzi huyo mwanaume anakojoa noti ndiyo unataka kumuonyesha ili kumrusha roho!
(4) Mwenzako ndiyo kashafika, katulia, ananyanyaswa lakini haondoki, wewe bado kijana, ukifikisha tu miaka 28 utaanza mara kutafuta mtoto, mara utataka kijana wako, mara utakutana na mtu unaingia kwenye ndoa. Mipicha yote ushampa unategemea yeye akianza kulipa kisasi na kumtumia mume wako au mpenzi wako kuna ndoa hapo. Wanawake wanasamehe ila unafikiri mchumba wako akiona huo uchafu hata ukimuambia nilifanya kabla ya kukutana na wewe atakuelewa, atakuona Malaya tu unajiuza na kukuacha!
(5) Hembu jithamini kidogo, unajua mnajidhalilisha, na hii mitandao aisee, hivi siku ukakutana na mwanamke kichwa maji, unamtumia mapicha yako ya uchi ana mfowardia Baba yako utasema nini? Au kwakua umeficha sura, anascreenshopt na namba yako anamtumia dingi yako anamuambia “Mkanye mwanao” ndiyo utafanya nini?
NB; Nina hasira, nimeandika usiku na kuna mtu yamemkuta, hembu mjifunze basi na kudanga, achene kudanga kipuuzi namna hii ujumbe umewafiki mkitaka kulike mtalike msipotaka kucomment kisa nimesema ukweli poa kazi yangu ni kuwaelekeza
Sent using i phone x
Ujinga ni pale unatembea na mume wa mtu lakini unakazana kutuma picha za uchi kwa mke wake kwa madai kuwa unamkomoa mke wake;
(1) Mwenzako kaolewa, ana ndoa na likitokea la kutokea anarudi kwa mkewe, yaani unamringisgia kumpata mume wake wakati yeye alishampata kitambo na ndani kawekwa!
(2) Hakuna kipya ambacho unamtumia na yeye hana, kwamba kamaa ni hivyo vifaa vyako unavyotaka avione basi nayeye anavyo, nikujidhalilsiha tu unamtumia uchi wako mwanamke mwenzako akuone ili nini, kwamba atagundua kuwa wakwako una madini labda atajisikia vibaya kuwa wakwako upo mabegani?
(3) Unatuma mnafanya mapenzi na mume wake, sasa kuna kipya kipi, mwenzako kafanya, kashamtumia huyo mwanaume na inawezekana na kuzalishwa kazalishwa, kwamba labda kuna staili mpya umegundua kwamba mkifanya mapenzi huyo mwanaume anakojoa noti ndiyo unataka kumuonyesha ili kumrusha roho!
(4) Mwenzako ndiyo kashafika, katulia, ananyanyaswa lakini haondoki, wewe bado kijana, ukifikisha tu miaka 28 utaanza mara kutafuta mtoto, mara utataka kijana wako, mara utakutana na mtu unaingia kwenye ndoa. Mipicha yote ushampa unategemea yeye akianza kulipa kisasi na kumtumia mume wako au mpenzi wako kuna ndoa hapo. Wanawake wanasamehe ila unafikiri mchumba wako akiona huo uchafu hata ukimuambia nilifanya kabla ya kukutana na wewe atakuelewa, atakuona Malaya tu unajiuza na kukuacha!
(5) Hembu jithamini kidogo, unajua mnajidhalilisha, na hii mitandao aisee, hivi siku ukakutana na mwanamke kichwa maji, unamtumia mapicha yako ya uchi ana mfowardia Baba yako utasema nini? Au kwakua umeficha sura, anascreenshopt na namba yako anamtumia dingi yako anamuambia “Mkanye mwanao” ndiyo utafanya nini?
NB; Nina hasira, nimeandika usiku na kuna mtu yamemkuta, hembu mjifunze basi na kudanga, achene kudanga kipuuzi namna hii ujumbe umewafiki mkitaka kulike mtalike msipotaka kucomment kisa nimesema ukweli poa kazi yangu ni kuwaelekeza
Sent using i phone x