ndugu yangu, huku hata ukiachia ushuzi tu kwenye daladala na clouds wakakujua basi wewe ni celeb... ila sijui ni wanachanganya celebrity na cerebral disease? maana wote wanaojiita ma-celeb ni ma-cerebral tu!
nchi hii ilivyo ya ovyo na tusio serious mtu akam huyu au shyrose usishangae akawa mbunge na mwishowe naibu waziri katika wizara flani..dah..watakuwa wamejipanga sana leo.Kaka mlokole hawampati hata kama wameenda kwa babu kule Mapinga.labda kina Robinho
nchi hii ilivyo ya ovyo na tusio serious mtu akam huyu au shyrose usishangae akawa mbunge na mwishowe naibu waziri katika wizara flani..dah..watakuwa wamejipanga sana leo.Kaka mlokole hawampati hata kama wameenda kwa babu kule Mapinga.labda kina Robinho