Sitakaa nipande chombo kinachoendeshwa na mwanamke hata iwe baiskeli.........
Sitakaa nipande chombo kinachoendeshwa na mwanamke hata iwe baiskeli.........
Sitakaa nipande chombo kinachoendeshwa na mwanamke hata iwe baiskeli.........
yaah!View attachment 239511
ni nusura maguruko (miaka 28), abiria wengi wanafurahia mwendo wake na nidhamu ya uendeshaji basi. Nami natamani siku moja nipande basi hili!
je, umewahi kupanda basi linaendeshwa na mwanamke? Je, unafahamu kuwa wanawake wanaendesha vyombo vya moto kwa kufuata kanuni na taratibu na wanaendesha kwa usalama usio na shaka?
nini uzoefu wako?
photo and caption by julius s. Mtatiro through his facebook account.
Sitakaa nipande chombo kinachoendeshwa na mwanamke hata iwe baiskeli.........
Kweli mtani..ni bora nitembee kwa miguu hata mpaka Mwanza....mtani...
Huku safar ndefu inabid awe Me coz ya rafu rodsyaah!
Sana makini miaka ya nyuma kuna mwingine alikuwa anaitwa hawa aliendesha uda.
Pia shabiby kulikuwa na dereva mwanamke.
Na kuna mmoja wa lori alikuwa akitoka zimbabwe kwa sasa haonekani.
Wote ni makini balaa.
Ndio maana wazungu safari ndefu za kifamilia mke
huendesha gari.
Kwa wenye akili timamu na zenye afya na wanaotambua kuwa mwanamke ni kiumbe wa aina gani...hawatakuwa na shaka juu ya maamuzi yangu.....Kwanini umekuwa na maamuzi magumu ivyo?
kuna mazingira utashindwa tu, vipi upo kwenye ndege alafu unatangaziwa marubani ni wanawake utashuka?Sitakaa nipande chombo kinachoendeshwa na mwanamke hata iwe baiskeli.........
Kweli mtani..ni bora nitembee kwa miguu hata mpaka Mwanza....
kaka acha kuwa na mtizamo wa kinyanyapaa juu wa wanawake.Kwa wenye akili timamu na zenye afya na wanaotambua kuwa mwanamke ni kiumbe wa aina gani...hawatakuwa na shaka juu ya maamuzi yangu.....