Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,958
- 2,439
- Thread starter
- #121
Ahsante, nawe pia.Kweli wewe ni fundi mzuri.. jinsi tuu unavyojibu maswali.. Kazi njema mkuu
Ahsante, nawe pia.Kweli wewe ni fundi mzuri.. jinsi tuu unavyojibu maswali.. Kazi njema mkuu
hii ni vyumba vingapi vya kulala na mpaka inafikia hapa ni tshs ngapi pamoja na gharama zako za ufundi?
4bdr, hii Nyumba ni kubwa sana. Ina sqm 399. Mpaka hapo zaidi ya 42milhii ni vyumba vingapi vya kulala na mpaka inafikia hapa ni tshs ngapi pamoja na gharama zako za ufundi?
ok tufanye vyumba viwili viwe master,halafu viwili vingine self,choo public,kitchen,sitting room,dining,mpaka inafika hapo na gharama zako za ufundi jumla ni hiyo milion 42?ukisema ni zaidi maximum ni milioni ngapi?4bdr, hii Nyumba ni kubwa sana. Ina sqm 399. Mpaka hapo zaidi ya 42mil
nipe na mchanganuo wa hii nyumba
Hapo ilipo imewekwa grill, imefanyiwa wiring, imewekwa frem za milango ,imefanyiwa plumbing na imemwagwa jamvi na skimming kama unavyoona hapo.ok tufanye vyumba viwili viwe master,halafu viwili vingine self,choo public,kitchen,sitting room,dining,mpaka inafika hapo na gharama zako za ufundi jumla ni hiyo milion 42?ukisema ni zaidi maximum ni milioni ngapi?
tukielewana kuna kazi nataka nikupe
Ni 4bdr. Mpaka hapo si chini ya 90mil.nipe na mchanganuo wa hii nyumba
una ramani yake?nimechukua namba zako,nitaku checkNi 4bdr. Mpaka hapo si chini ya 90mil.[/QUOTE
Hapo ilipo imewekwa grill, imefanyiwa wiring, imewekwa frem za milango ,imefanyiwa plumbing na imemwagwa jamvi na skimming kama unavyoona hapo.
Pia vyumba vyote ni self contained.
Gharama ya vitu vyote hivo inafika 60mil. Nilipokueleza ile 42mi nililenga kwenye structure, Sikh include installation ya hivyo vingine. Hivyo basi hiyo 60mil labour iko ndani yake
Karibuni
[/QUOT
Karibuni