Kutana na dalali wa nyumba Dar es Salaam

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Nov 21, 2015
3,060
2,111
Habari Zenu Machief! Taarifa Ni Hii...
Kwa Mahitaji Ya Vyumba ,Nyumba,
Viwanja,Mashamba,Plot,Yard, Godown/Warehouse,Ofisi ya biashara, Frem, Beach,magari (usafiri wowote) n.k sehemu Yoyote Ndani Ya Mkoa Wa Dar es salaam

Pia Kwa Mwenye Nyumba,Plot,Kiwanja, Mashamba, Beach,Magari Nk
Napokea Matangazo Na Kutangaza Bure
Asante
___
CALL
0718295182 *WATSAP*
0765505909
 
Una kibali cha udalali? Una nyaraka za mlipa kodi? Nyie ndio mnaoibia sekta ya nyumba nchini. Kwa vile umeweka na mawasiliano yako basi tarajia ugeni halali ndani ya siku 10. Tumedhamiria kukomesha biashara haramu kwenye ardhi na nyumba nchini.
 
Tafadhari Tembelea instragram @dalalibango na kazi nyingine nyingi utazipata si zote zina pcha zake
 
Tuambie Unachotaji Iwe Nyumba,Viwanja Vyenye Hati,Mashamba,Beach,Plot,Yard,Magari Used n.k
Pia kama unahitaji mteja wa haraka , nitumie Tangazo Nitatangaza bure
Whtsp/Call/Sms: +255718295182
 
Back
Top Bottom