Sijaolewa.... Ila ndio ruksa kabisa maana hata nikisema sitaki kushare na mtu anakoenda najua? Wanaume wa siku hizi wachache ndo wametulia na ndoa zao ila wengi wao mmhh
Sijaolewa.... Ila ndio ruksa kabisa maana hata nikisema sitaki kushare na mtu anakoenda najua? Wanaume wa siku hizi wachache ndo wametulia na ndoa zao ila wengi wao mmhh
KUNA MMOJA ALIJILENGESHA NIKA MPOPOA, akaanza mizinga niazime pesa nna shida,,
nkamwambia siko poa kwa sababu jana tu nimempa wife ameenda msibani kwao,,
alinijibu ivi :- SASA SHIDA ZA MKEO MIE ZINA NIHUSU NN?
Baada ya hapo nikamkatia simu, kwa hasira ela nlo baki nayo nikamtumia wife yoteeeeeeee , hadi wife kashangaa,, anahoji mme mbona umenitumia pesa nyingine? nkamwambia wee kaa nazo tu mke,, ikibidi nenda na shopping,,
Sijaolewa.... Ila ndio ruksa kabisa maana hata nikisema sitaki kushare na mtu anakoenda najua? Wanaume wa siku hizi wachache ndo wametulia na ndoa zao ila wengi wao mmhh