angulupeye
Member
- Dec 10, 2018
- 16
- 17
Habarini za majukumu wana board,
Leo tukiwa aidha tunasherekea krismas au tukishuhudia wenzetu wakisherekea krismas, Bado undugu, upendo, umoja, na mshikamano wetu uko pale pale katika kuhakikisha tu kama ndugu tunayafikia malendo yetu.
Poleni kwa uchovu na usumbufu wa hapa na pale mimi kama ndugu yenu leo naomba kuwekwa wazi nini MAANA YA KUTAKATISHA FEDHA? Nimekua nikisikia sana hili neno na nimehangaika sana kupata maana yake sijafanikiwa ila kwa kuwa JF hapa ni home of great thinkers naamini wapo wataalamu wa haya mambo sasa naomba kuelekezwa vizuri kutakatisha fedha ni kitendo gani hiki?
Msaada please






Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tukiwa aidha tunasherekea krismas au tukishuhudia wenzetu wakisherekea krismas, Bado undugu, upendo, umoja, na mshikamano wetu uko pale pale katika kuhakikisha tu kama ndugu tunayafikia malendo yetu.
Poleni kwa uchovu na usumbufu wa hapa na pale mimi kama ndugu yenu leo naomba kuwekwa wazi nini MAANA YA KUTAKATISHA FEDHA? Nimekua nikisikia sana hili neno na nimehangaika sana kupata maana yake sijafanikiwa ila kwa kuwa JF hapa ni home of great thinkers naamini wapo wataalamu wa haya mambo sasa naomba kuelekezwa vizuri kutakatisha fedha ni kitendo gani hiki?
Msaada please






Sent using Jamii Forums mobile app
