Kutahiriwa kwa wanaume

kama kuna dakitari tunamwomba ushauri.je ni umri gani kitaalam mtoto inafaa kutahiriwa?
 
^ I am not a doc but I have seen young infants 3 days old been circumcised....
 
this can be true but guys still be careful with whom u sleep or at least use protection
 
Ngoja wenyewe waseme.....Usiwasemeeee.
Unajuaje kama huyo sio mmoja wao?

Waulize wajeremani, hawatoi na maisha yao kama kawa. Kama yanatunza uchafu mana yake aliyebeba ana tabia ya uchafu mwenyewe. Kutahiri hata hivyo kunapunguza chances za kujeruhiwa wakati wa kuingiliana, sababu govi hufunika kichwa ambacho kina thin covering membrane ambayo ni rahisi kuumia kwenye friction. Aliyetahiriwa kichwa kimejicondition msuguano na huwa na thin but strong squamous layer. Hasara yake ni kupoteza strength ya sensation wakati wa kuingiliana, maana inaguswaguswa sana na kuzoea miguso. Govi linaprotect kituo cha kupokelea senses, pia huzuia atrition ya vinundu kwenye kichwa ambavyo vinasaidia katika kuguruza kuta za mdomo wa kike wa mama. The same hutokea kama mama anatahiriwa - drop of sensation intensity to touching
 
Wanyakyusa kule nyumbani kwa bibi inabidi niwapelekee hii elimu, manake duh kutahiriwa wenyewe ni msamiati mpya na wanashangaa kweli, nakumbukuka nikiwa mdogo tukienda kuoga mtoni nilikuwa peke yangu niliyekuwa nimetahiriwa kutokana na kuwa mila za upande wa baba ni lazima utolewe hilo go*** . kila mtu alishangaa nanii yangu na habari zilisambaa kijiji kizima mtoto wa furani ana kilema kwenye kifanyio, niliacha kabisa kuoga manake nilikuwa kituko na mpaka sasa nikienda hawana habari ya kutahiriwa ni wachache wa mjini ndio wanajua haya mambo lkn kijijini mwakaleli thubutuu
 
Wapendawa,

Kwa ukokotoaji huu, nadhani kila mtu aamue apendavyo. Kama uwezekano ni asilimia hamsini, hii inaonyesha kuwa si tiba. Hapa tunalinganisha conditions mibili tu. Yaani utapata na hutapata. Ingekuwa condition moja ya hutapata inakuwa kubwa kuliko hasini asilimia, basi tungashauri kuwa kukata ni tiba/kinga la sivyo yote ni kumwachia Mungu au kutumia zana tuwe tumekata au la.
 
Jamani govi noma!! Tena la mtu mzima ni balaa! Linahifadhi uchafu, harufu mbaya. Mi nashindwa kupata picha ya mtu mzima akiwa na hilo dude. Halafu ni dude delicate sana. Kwenye tendo la ndoa linakuwa very vulnerable. Ndiyo maana kuepuka ukimwi walau kwa asilimia fulani inashauriwa kutahiriwa. Kama mtu unalo jisalimishe kwa madaktari waliondoe, tena siku hizi kwa ganzi. hakuna maumivu. Miaka yetu ile tulikuwa tunatahiriwa kimasai, yaani bila ganzi: ni kisu tu na wewe. Lakini mwanaume unakauka kama ukuni, usilie kwani vijana wa rika lako watakucheka, na wasichana watakukataa kuwa nawe baada ya kupona. Kisa: uko JOGA. Hufai kuoa yeyote wewe kwani utashindwa kupambana na magumu ya maisha, na kuishia kulialia kama mtoto.
 
uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika nchi za kiafrika umeonyesha kuwa ,wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kutoambukizwa ukimwi kwa asilimia hamsini.UJUMBE; tuwapeleke watoto wetu wakatahiriwe na wale wakubwa ambao bado, tuwashauri wakatoe,waache woga.
Hii mada ilishadiskasiwa humu muda si mrefu, i hope mods wataunganisha
 
naona watu mnajaribu kuungana kumkosoa Mungu.................... haya bwana................

we waache tu mtu wangu, sasa kwa nini tulizaliwa na kale kanyama? maana mimi nimeshtukia tu wazazi walikaondoa wakati mdogo, wakati sijui kazi yake!

Hivi kwa nini wanyama wengine hawatariwi nao?? au hawana magonjwa?

mimi sijajua sababu ya kuondoa mpaka leo, maana watu mnasema magonjwa,. lakini kuna jamii walikuwa wanakaondoa kabla hata ya Masiha kuzaliwa! wakati hamna ukimwi!

au mazoea tu?
 
kama kuna dakitari tunamwomba ushauri.je ni umri gani kitaalam mtoto inafaa kutahiriwa?

baada ya Siku 40 Tangu Mtoto alipozaliwa inawezekana Mtoto Kutahiriwa mimi nimetahiriwa bado nipo Mtoto mdogo kiasi hata sijijuwi Mama yangu ndio aliyekuwa ananiangalia ni Vizuri kutahiri Nabii Ibrahim,is-haka, Yakubu, Daudi,Suleyman,bwana Yesu na Mtume Muhammad.S.A.W . Mitume wote Wa Mwenyeezi Mungu wametahiri itakuwa wewe au mimi tusitahiri?Ajabu hiyo tukate Magovi yetu kwa ajili ya Afya zetu na Starehe zetu za Ndowa asanteni.
 
........Kwa hiyo hawa wanaume waliopata ukimwi wote hawajatairiwa?
Jamani wanaume muwe makini, msije mkatembeza midudu yenu ovyo ovyo bila kutumia condom kisa umetahiriwa shauri yenu.
HIV haichagui uwe umetahiriwa au hujatahiriwa kama unapenda kufungua zipu yako kwa kila mwanamke unayemuona utaukwaa tu.
 
........Kwa hiyo hawa wanaume waliopata ukimwi wote hawajatairiwa?
Jamani wanaume muwe makini, msije mkatembeza midudu yenu ovyo ovyo bila kutumia condom kisa umetahiriwa shauri yenu.
HIV haichagui uwe umetahiriwa au hujatahiriwa kama unapenda kufungua zipu yako kwa kila mwanamke unayemuona utaukwaa tu.
Haina maana ya kuwa kama umetahiriwa ndo ule bila kunawa hapana nilazima kuwa makini na magonjwa ikiwemo UKIMWI ila takwimu zinaonesha watu ambao bado wanafuga kale kanyama wapo kwenye hatari zaidi ya kuambukizwa kuliko waliokanyofoa.
 
Huko Marekani kuna juhudi za kupitisha sheria ya kuzuia wazazi kuwapeleka watoto wao wachanga wa kiume kutahiriwa kwani wanachukulia sawa na ukeketeji na udhalilishaji wa kibinaamu. Wanataka watoto wakiume waache hadi wakiwa watu wazima ndio waamue wenyewe kama wanataka kutahiriwa au la.
 
we waache tu mtu wangu, sasa kwa nini tulizaliwa na kale kanyama? maana mimi nimeshtukia tu wazazi walikaondoa wakati mdogo, wakati sijui kazi yake!

Hivi kwa nini wanyama wengine hawatariwi nao?? au hawana magonjwa?

mimi sijajua sababu ya kuondoa mpaka leo, maana watu mnasema magonjwa,. lakini kuna jamii walikuwa wanakaondoa kabla hata ya Masiha kuzaliwa! wakati hamna ukimwi!

au mazoea tu?

asante mkuu, kweli hiyo ni tabia mbaya sana na naweza kusema sasa wanaume wote waliotahiriwa wakiwa wadogo wamefanywa walemavu bila hiyari yao....... hawajui hata "ladha" ya ngono bila govi ikoje!!!!!!!! si ulemavu huo???

mbaya zaidi govi liliumbwa kulinda kifundo cha uume dhidi ya vitu vingine kama nguo nk visikiguse na kukisugua ili kukitengenezea usugu ambao hautakiwi kwani unapunguza sensitivity hasa wakati wa tendo la ngono....................

amini msiamini, kutahiri watoto wa kiume kunachangia matatizo yanayojitokeza kwa kasi sasa katika jamii yetu ya upungufu wa nguvu za kiume...............

tuwasamehe tu wazazi wetu, na wengine tulikuwa hata tukililia bila kujua............ lakini, kutahiri wavulana ni ukeketaji na ninapinga kwa nguvu zote.................


Huko Marekani kuna juhudi za kupitisha sheria ya kuzuia wazazi kuwapeleka watoto wao wachanga wa kiume kutahiriwa kwani wanachukulia sawa na ukeketeji na udhalilishaji wa kibinaamu. Wanataka watoto wakiume waache hadi wakiwa watu wazima ndio waamue wenyewe kama wanataka kutahiriwa au la.

govi ni kiungo cha mwili na kinahitajika ndio maana kiliumbwa............mimi naunga mkono mia kwa mia kuwa kutahiri ni ukeketaji na napinga kwa nguvu zangu zote ukatili huu kwa wavulana ................

sambamba na hili, watu wajue kuwa hata kuwatoga masikio wasichana wakiwa wadogo ni kutowatendea haki kwani wanawafanyia ukatili miilini mwao bila utashi wao............. kama ni urembo wawaache hadi wakiwa wakubwa wa kuweza kufanya maamuzi waamue wenyewe.................
 
we waache tu mtu wangu, sasa kwa nini tulizaliwa na kale kanyama? maana mimi nimeshtukia tu wazazi walikaondoa wakati mdogo, wakati sijui kazi yake!

Hivi kwa nini wanyama wengine hawatariwi nao?? au hawana magonjwa?

mimi sijajua sababu ya kuondoa mpaka leo, maana watu mnasema magonjwa,. lakini kuna jamii walikuwa wanakaondoa kabla hata ya Masiha kuzaliwa! wakati hamna ukimwi!

au mazoea tu?

basi acheni na kukata kucha, kunyoa nywele (sehemu zote), kutoga masikio, nk. ...

think about it... kama kucha ni uchafu, kwanini vingine viwe kumkosoa mungu?
 
basi acheni na kukata kucha, kunyoa nywele (sehemu zote), kutoga masikio, nk. ...

think about it... kama kucha ni uchafu, kwanini vingine viwe kumkosoa mungu?

mkuu de novo...............

umelinganisha vitu viwili tofauti kabisa................. umelinganisha dead organs (parts).............. na living organa (parts)............ kucha hukatwa sehemu le iliyokufa na ambayo haitoi damu wala haihisi maumivu.......... nywele halikadhalika............

kwenye kutoga masikio hata mimi nimepinga na kutaka wasichhana waachwe hadi wawe wakubwa wafanye maamuzi wenyewe.................. ni ukiukwaji wa haki za binadamu kutoboa mwili wa mtu bila ridhaa yake............ hata kama ni urmbo waachwe waamue wenyewe wakifikia umri muafaka wa kujitegemea kimaamuzi...........
 
Back
Top Bottom