Kutahiriwa kwa wanaume

Tall

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
1,425
165
uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika nchi za kiafrika umeonyesha kuwa ,wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kutoambukizwa ukimwi kwa asilimia hamsini.UJUMBE; tuwapeleke watoto wetu wakatahiriwe na wale wakubwa ambao bado, tuwashauri wakatoe,waache woga.
 
uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika nchi za kiafrika umeonyesha kuwa ,wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kutoambukizwa ukimwi kwa asilimia hamsini.UJUMBE; tuwapeleke watoto wetu wakatahiriwe na wale wakubwa ambao bado, tuwashauri wakatoe,waache woga.
uchunguzi mfu huo,
 
uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika nchi za kiafrika umeonyesha kuwa ,wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kutoambukizwa ukimwi kwa asilimia hamsini.UJUMBE; tuwapeleke watoto wetu wakatahiriwe na wale wakubwa ambao bado, tuwashauri wakatoe,waache woga.


source plse!!!!:confused:
 
source plse!!!!:confused:

Hapo hapo mzee chukua hii source, ukurasa wa 24 pragraph ya 9 ya kijitabu cha Talking about aids - handbook for peer educators, kimetolewa Dar es salaam, August 2008 kwa msaada mkubwa wa german development cooperation through GTZ na AIDS buisness collition Tanzania (ABCT) the forword of this handbook was signed by Dr Fatma Mrisho of TACAIDS.
Ushauri wangu upo pale pale,tuwashauri vijana au hata wakubwa ambao bado,waende wakatoe ile nanihii ili wawe AIDS riskfree by at least 50% kuna tatizo gani?.Hata hivyo huu ni ushauri tu.Nisameheni sana kama nitawakwaza baadhi ya wana JF.
 
uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika nchi za kiafrika umeonyesha kuwa ,wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kutoambukizwa ukimwi kwa asilimia hamsini.UJUMBE; tuwapeleke watoto wetu wakatahiriwe na wale wakubwa ambao bado, tuwashauri wakatoe,waache woga.

Huo ni ukweli usiopingika!
Sometimes tupunguze ubishi wajameni! au siyo???
 
Jamani kweli ambao bado manayo na mshakuwa wakubwa mkayatoe jamani, sio ukimwi tuu, hata mwanamke utakayempata utampa taabu sana kama utakuwa na hilo dubwana.
 
Jamani kweli ambao bado manayo na mshakuwa wakubwa mkayatoe jamani, sio ukimwi tuu, hata mwanamke utakayempata utampa taabu sana kama utakuwa na hilo dubwana.
Poooooooooooooooint. kweli umenena
 
Jamani kweli ambao bado manayo na mshakuwa wakubwa mkayatoe jamani, sio ukimwi tuu, hata mwanamke utakayempata utampa taabu sana kama utakuwa na hilo dubwana.

Nilichosikia kwa akina dada walio wengi, wanapenda wenye magovi, wanaclaim kuwa inasisimua wakati wa maakuli, reached a point I wanned t back, but ndo hivo.
Ushauri:
Kama ww bado, hata usiende kutoa, kama swala la ukimwi, u'v 2b mwaminifu, piriodi))))
 
Nilichosikia kwa akina dada walio wengi, wanapenda wenye magovi, wanaclaim kuwa inasisimua wakati wa maakuli, reached a point I wanned t back, but ndo hivo.
Ushauri:
Kama ww bado, hata usiende kutoa, kama swala la ukimwi, u'v 2b mwaminifu, piriodi))))
Ngoja wenyewe waseme.....Usiwasemeeee.
 
Jamani kweli ambao bado manayo na mshakuwa wakubwa mkayatoe jamani, sio ukimwi tuu, hata mwanamke utakayempata utampa taabu sana kama utakuwa na hilo dubwana.
sawa kabisa
 
Hapo hapo mzee chukua hii source, ukurasa wa 24 pragraph ya 9 ya kijitabu cha Talking about aids - handbook for peer educators, kimetolewa Dar es salaam, August 2008 kwa msaada mkubwa wa german development cooperation through GTZ na AIDS buisness collition Tanzania (ABCT) the forword of this handbook was signed by Dr Fatma Mrisho of TACAIDS.
Ushauri wangu upo pale pale,tuwashauri vijana au hata wakubwa ambao bado,waende wakatoe ile nanihii ili wawe AIDS riskfree by at least 50% kuna tatizo gani?.Hata hivyo huu ni ushauri tu.Nisameheni sana kama nitawakwaza baadhi ya wana JF.
Kuna mijitu mibishi sanaaaaaaaa humu ndani.......... Sometimes the person who gives you the information.....is the SOURCE.......... vingine content ndiyo uthibitisho.................... HIVI MNAPOPEWA TAARIFA ZA MISIBA HUWA MNAULIZA SOURCE..........???
 
Dude linabeba uchafu balaa. Ukitaka lichungulie kama unalo. Lazima litakuwa na unga unga ulioganda. Sh##t
 
Ngoja wenyewe waseme.....Usiwasemeeee.

YES, maana wao ndio wenye experience na madude tofauti! Ningewaomba waliopata kutumia madude yote mawili waseme, watakuwa na somo kamili. Ila najua ni vigumu kujitokeza na kuweka bayana kuwa "umewahi kutumia zote mbili" na kwa kiwango gani.
 
Back
Top Bottom