Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,596
- 61,016
'Kitendo fulani'Wewe tyr?
Leta maoni
'Kitendo fulani' ndio shidaUtajiri ungekuwa unatafutwa namna hiyo basi watu wengi wangekuwa matajiri
Ghafla paa, inatakiwa milioni 100 ukatibiwe India, utafanyaje?Futa kauli, si kila mtu anaupenda utajiri !
Kina mtu anapenda maisha standard, anapata mahitaji yote muhimu basi !!!!!
Kwa nini hayaendi sawa?kuna namna mambo hayaendi sawa kwa wengi wetu mpaka tunazungumza utopian issue
kwa sababu akili zimevurugwa na ugumu wa maishaKwa nini hayaendi sawa?
kwa sababu akili zimevurugwa na ugumu wa maisha
Ghafla paa, inatakiwa milioni 100 ukatibiwe India, utafanyaje?
'Kitendo fulani'Utajiri ni siri, hakuna mtu atakupa "code" ya utajiri wake. Sana sana atakwambia nilianza na buku tuu. 😁
Kwani ni matajiri wangapi wamefia huko India, na hela wanazo mkuu?Ghafla paa, inatakiwa milioni 100 ukatibiwe India, utafanyaje?
Kabisa! Maana naona wanatamba tu bila wasi.Tuwasubiri waje watujuze