Kusuka kwa Wamasai Basi ....

Umenikera sana na kauli zako. Why unaita watu mijitu.

Huna adabu wewe mwanamke
Oooooh umekereka eeh,sasa kwahisani yako usikereke,pita kimnya kimnya usitoe POVU ukazidi kujikera,au kama nimekukera kwa kauli yangu wacha ni apologies SAMAHANI sana kama nimekukera..
 
Uliondoka kwa sababu madudu yao yalikua yanakugusa au kwasababu ya harufu?
Sikupenda ile tabia,yakunizizunguka wakanibana vile na madudu yao ,halafu wanaongea kikwao hata sifahamu,kila ukisogea unakutana nao jengine linakugusa,na sijui why hawaoni mtu umenuna hauko confortable lakini still hata hawajali,na haikua bahati mbaya hata kidogo..
 
Kuna dada yangu alikua anawaambia waende bafun wakaoge kabla ya kumsuka na alikua anagombana nao wakitemea mate mikononi ili walainishe sijui ni nywele au mikono!!!R.IP Sisy
Wanakera sana,sijawahi kusukwa na wamasai ilikua ndio mara yangu ya kwanza na ya mwisho,wamenifanya sina mood kabisa yakusuka wacha nywele zangu zikae hivi hivi..
 
Habari Wana Chit-Chat,

Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati.

Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia J'pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmmhhh

Wamenizunguka Wamasai wa 5 sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari, nilistahmili kama nusu saa simu yangu ilipoita nikawambia waniache, nilipomaliza simu nikawambia ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea sikurejea tenaa.

Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?
Hebu ngoja kwanza.

Kilichokukimbiza ni dushe zao kukugusa.au harufu ya vikoi??
 
Oooooh umekereka eeh,sasa kwahisani yako usikereke,pita kimnya kimnya usitoe POVU ukazidi kujikera,au kama nimekukera kwa kauli yangu wacha ni apologies SAMAHANI sana kama nimekukera..
Nimeshakupuuza kwakuwa duniani hapa hakuna maisha ya dharau binadamu wengine bali kurekebishana na kuonyana.

Kama wewe umeona sawa kuwaita Wamaasai "mijitu inayonuka" fine wewe ni mtu unayenukia ila kuna siku utanuka na kuoza.

Kumbuka "hujafa hujaumbika dada yangu"

Sina muda wa kutoleana povu na malaika kama wewe...
 
Nimeshakupuuza kwakuwa duniani hapa hakuna maisha ya dharau binadamu wengine bali kurekebishana na kuonyana.

Kama wewe umeona sawa kuwaita Wamaasai "mijitu inayonuka" fine wewe ni mtu unayenukia ila kuna siku utanuka na kuoza.

Kumbuka "hujafa hujaumbika dada yangu"

Sina muda wa kutoleana povu na malaika kama wewe...
Usijikere kwahisani yako sio vizuri,umekereka eeh,usijibu ukajikera ebu achana na hii habari usiji udhi nafsi yako nimesema hivyo sababu wa.linikera sasa usichukulie too personal as if nimekwambia wewe,nimesema wamasai tena wale walio nisukaa wewe sio ulie nisukaa wala sio mmasai sasa unajikerea nini?kwa hisani yako usiudhike...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom