Acha dharau wewe mwanamkewatajua wenyewe na balaa lao hawana hata haya, wanaume wazima waso vaa suruali kama wenzao wanaume wa DAR,wao vikoi vikoi na wao...
Umenikera sana na kauli zako. Why unaita watu mijitu.Ah wapi,si kwakunuka kule,astaghfir Allah, yani hiyo harufu kwanza hata hamu inakata ,mijitu hata boxer hawavai
wakajistiri...
Mnafiki mkubwa wewe[
Mwenyezi mungu aninusuru hili na jengine..
Habari Wana Chit-Chat,
Naomba kuuliza Wanawake wenzangu, Nilimuona Shogangu kasuka zile nywele za kimasai nikazipenda sanaa sasa nikasema niende na kwakweli sijasuka nna miaka kama 10 sababu mr Hataki This time nikamuomba akakubali baada ya miaka 10 ilikua kama bahati.
Kwakua nyewele zangu ndefu sikuhitaji rasta zakuongezea,haya shosti akanipitia J'pili tukaenda kufika macho yakanitoka kumbe wasusi wanaume wa kimasai nikamuliza mbona wanaume kasema ndio wanaojua wacha ushamba wako haya akaongea nao nikaanza kusukwa mmmmmhhh
Wamenizunguka Wamasai wa 5 sasa ule mkao wao yani wanakugusa na madudu yao huyu na wako busy kuongea kikwao sielewi wanasema nini,shoga nae hayupo,mbaya zaid vikoi vyao vinanuka hatari, nilistahmili kama nusu saa simu yangu ilipoita nikawambia waniache, nilipomaliza simu nikawambia ntarudi baadae nikatoa elfu 20 nikasema nakuja waendele na mteja mwengine mpaka nikirejea sikurejea tenaa.
Sasa niulize wadada mnaosuka ivi hii imenitokea mimi tuu au hawa wamasai ndio TABIA YAO?
Si bure itakua una stress,ila mie sie wakumtolea Povu..Acha dharau wewe mwanamke
Afadhali useme wewe nikisema mie inakua mwao..Ila wamasai ni wachafu jamani khaaaa...!
it was bad,hata staki kukumbuka..lolSipati picha walivokuzingira unaonekana kichwa tu.
wapo,rafiki yangu mie masai tena anajipenda Mashallah..Ila kuna wamasaiii wengine wasafi
mmmmmmmmmh apana kwa style ile na harufu sidhani kama wanaweza kuvumilia..Wenzako huwa wanajiadai wamekosea wanayameza mdomoni... wanaishia kusukwa bure kuanzia siku hiyo....
pole naona ume kasirikaaa usinune sijasema wewe ndio mmasai...Mnafiki mkubwa wewe