Kusudio lako ni lipi

Kusudio lako ni lipi

I dont think i'm called to be someone's wife, but certainly i can see myself being a mother of two children from orphanage centre.....hii ndio naona kusudio langu
 
I dont think i'm called to be someone's wife, but certainly i can see myself being a mother of two children from orphanage centre.....hii ndio naona kusudio langu
ha ha ha It might be,but not sure
 
Yani duniani kumcha Mungu mbinguni napo wanasema itakua kuabudu nakusifu miaka yote. Maisha ya binadamu yatakua yanaboa sana
Yaani hapa duniani ni kumcha au kumuabudu baada ya kufa ni peponi, yaani huko ni starehe ya milele, ni sawa na kufanyia kazi boss wako alaf mwisho wa mwezi anakulipa mshahara so unaenda kutumia msharah wako[emoji106]
 
Back
Top Bottom