Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,043
Wadau,
Nahitaji mawazo na ushauri wa kisheria nataka niwashitaki DHL TANZANIA kwa kuchelewesha kutoa mizigo yangu ambayo ilifika Dar es slaam tangu tarehe 8 April, 2020 lakini hadi leo tunaongea hakuna mzigo uliotoka.
Kwanza kabisa hawakunijulisha taarifa za mzigo kuwa umefika mpaka siku saba zikawa zimeisha. Hadi nilipofanya jitihada za kuwatafuta ndipo walipoanza kushughulikia lakini kama wanalazimishwa.
Nimeshalipa kila kitu na nimewasiliana nao hadi nimechoka hakuna kipya kinachotekelezwa.
Je, naweza kuwashitaki kwa kunisababishia hasara za ucheleweshaji wa utoaji mzigo na kuniongezea gharama zaidi ambazo sikupaswa kuzilipa?
Nahitaji mawazo na ushauri wa kisheria nataka niwashitaki DHL TANZANIA kwa kuchelewesha kutoa mizigo yangu ambayo ilifika Dar es slaam tangu tarehe 8 April, 2020 lakini hadi leo tunaongea hakuna mzigo uliotoka.
Kwanza kabisa hawakunijulisha taarifa za mzigo kuwa umefika mpaka siku saba zikawa zimeisha. Hadi nilipofanya jitihada za kuwatafuta ndipo walipoanza kushughulikia lakini kama wanalazimishwa.
Nimeshalipa kila kitu na nimewasiliana nao hadi nimechoka hakuna kipya kinachotekelezwa.
Je, naweza kuwashitaki kwa kunisababishia hasara za ucheleweshaji wa utoaji mzigo na kuniongezea gharama zaidi ambazo sikupaswa kuzilipa?